Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

ACHA KUWAONGOPEA WATU, HIYO SIFONGO ILIYOTIWA SIKI NI KAMA LAPULAPU AU TAMBARA LILILOWEKWA KWENYE VINEGAR. HII ILIKUWA IKITUMIWA KUWAPUNGUZIA MAUMIVU WALIOSULUBIWA KATIKA ENZI ZA ROMAN EMPIRE.
 
Alafu damu yake ndio imesafisha dhambizetu...
Kiranga muda mwingine simlaumu.

Wanasema.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote.

Anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani kufanyika popote.

Hakuuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika.

Hata katika ulimwengu ambao dhambi inaweza kufanyika, aliweza kuumba watu ambao wanaweza kuishinda dhambi mara zote.

Hajaumba watu hao.

Kaumba watu ambao wanaweza kushindwa na dhambi.

Halafu watu hao wakishindwa na dhambi, kwa sababu Mungu kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika, na watu wanashindwa na dhambi, Mungu huyo atawahukumu watu hao kwa kuwachoma katika moto wa milele.

Ni kama Baba anayeweza kumsomesha mtoto wake shule (Mungu anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani) akaamua kumkataza mtoto wake asisome shule (Mungu huyo akaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika) halafu mtoto akishindwa kujua kusoma na kuandika kwa sababu (mtu akifanya dhambi) baba amuadhibu mtoto vikali (Mungu awaadhibu watu kwa moto wa milele).

The premise and narrative is illogical.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Baba mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kumkataza mtoto wake kwenda shule, halafu baba huyo huyo amuadhibu mtoto huyo, kwa kuwa hajui kusoma.

Huu ndio ujinga ninaokataa katika dini.
 
Kumbe sifongo ni tafsiri ya sponge ya kiingereza. Hapa inaeleweka - kwa sababu Yesu alitundikwa juu ya msalaba palikuwa hamna jinsi ya kumfikishia chupa au glassi, ndio maana wakatumbikiza spongi kwenye siki (vinegar), na ile sponge iliyonyonya siki wakaweka juu ya mkuki na kumfikishia Yesu juu msalabani. Kitambaa pia inaweza kutimika kama sponge (sifongo) na hapa imetumika kama chombo tu na haina connection na sumu!

Siki ingawa ni chungu, lakini Roman soldiers walikuwa wanatumia kama kinywaji enzi zile!
 
Wanasema.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote.

Anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani kufanyika popote.

Hakuuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika.

Hata katika ulimwengu ambao dhambi inaweza kufanyika, aliweza kuumba watu ambao wanaweza kuishinda dhambi mara zote.

Hajaumba watu hao.

Kaumba watu ambao wanaweza kushindwa na dhambi.

Halafu watu hao wakishindwa na dhambi, kwa sababu Mungu kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika, na watu wanashindwa na dhambi, Mungu huyo atawahukumu watu hao kwa kuwachoma katika moto wa milele.

Ni kama Baba anayeweza kumsomesha mtoto wake shule (Mungu anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani) akaamua kumkataza mtoto wake asisome shule (Mungu huyo akaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika) halafu mtoto akishindwa kujua kusoma na kuandika kwa sababu (mtu akifanya dhambi) baba amuadhibu mtoto vikali (Mungu awaadhibu watu kwa moto wa milele).

The premise and narrative is illogical.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Baba mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kumkataza mtoto wake kwenda shule, halafu baba huyo huyo amuadhibu mtoto huyo, kwa kuwa hajui kusoma.

Huu ndio ujinga ninaokataa katika dini.
Mungu aliuliwa na NYONGO YA mamba afu akapigiliwa Misumari ya kenchi then akabanikwa juani kwa mbao zilizo kaa kama jumlisha then wakamchoma na spear of destiny
Zile damu zilizotoka zkaja kusafisha dhambizetu..
MUNGU ALIEUMBA ULIMWENGU HAYUPO HIVI AISEE.
mnamtafsiri vibaya na ndo mana Kiranga anasema hayo aliyoyasema.
Kiranga ingia Google playstore andika quran swahili then download
Afu tafuta (ndani) yaqurani suratul naaba..kwa akili ya kujaji vitu ulionayo utaondoka na kitu.
 
Mungu aliuliwa na NYONGO YA mamba afu akapigiliwa Misumari ya kenchi then akabanikwa juani kwa mbao zilizo kaa kama jumlisha then wakamchoma na spear of destiny
Zile damu zilizotoka zkaja kusafisha dhambizetu..
MUNGU ALIEUMBA ULIMWENGU HAYUPO HIVI AISEE.
mnamtafsiri vibaya na ndo mana Kiranga anasema hayo aliyoyasema.
Kiranga ingia Google playstore andika quran swahili then download
Afu tafuta (ndani) yaqurani suratul naaba..kwa akili ya kujaji vitu ulionayo utaondoka na kitu.
Sihitaji Quran ya Google Store.

Kama umeniita hapa, ukifikiri nitapinga Wakristo tu, umekosea sana na hunielewi.

Nina "The Meaning of The Holy Quran" ambacho ni Quran nzima, Kiarabu na Kiingereza, na maelezo ya tafsiri yaliyohaririwa na Abdullah Yusuf Ali.

Kwa hivyo kunifikiria sijaijua Quran na nianze ku download Google Store leo, unaniweka chini sana.

Quran nayo ina ujinga ule ule tu.

Katika aya za mwanzoni tu unaambiwa kwamba.

1. Kuna watu wabishi sana kuhusu dini, waumini msibishane nao.
2. Msibishane nao kwa kuwa, Allah mwenyewe amefanya mioyo yao kuwa mizito kumuamini, ameziba macho yao na masikio yao.
3. Watu hawa, kwa kuwa wamezibwa mioyo, macho na masikio wasimjue Allah, hawatamjua Allah.
4. Kisha, Allah atawahukumu vikali sana hawa watu, kwa sababu hawajamjua, wakati hawajamjua kwa sababu yeye mwenyewe kawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue.

Hivi mtu na akili zake akisoma hizi habari za Allah anakubali kabisa huyo Allah yupo, na ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
Mkuu wacha kutuingiza chaka. Yesu alipewa kitu kinachoitwa vinegar ilichanganywa na gall.
 
Katika zile muvi jamaa aliyeigiza kama yesu alikua na majibu ya mkato na yenye kuudhi, naamini hata wale askari walichukizwa sana ndio maana wakamsurubu.

Hata ingekua ni leo hii kwa majibu yale lazima ungempiga makofi[emoji3][emoji3]
Duh hivi jamaa yesu aliwakoseaga nini mbona walikuwa na hasira naye sana dah inauma sana


Yaan watu wamekupiga misumari wakaona haitosh wakampiga na sifongo tena
 
Sihitaji Quran ya Google Store.

Kama umeniita hapa, ukifikiri nitapinga Wakristo tu, umekosea sana na hunielewi.

Nina "The Meaning of The Holy Quran" ambacho ni Quran nzima, Kiarabu na Kiingereza, na maelezo ya tafsiri yaliyohaririwa na Abdullah Yusuf Ali.

Kwa hivyo kunifikiria sijaijua Quran na nianze ku download Google Store leo, unaniweka chini sana.

Quran nao ina ujinga ule ule tu.

Katika aya za mwanzoni tu unaambiwa kwamba.

1. Kuna watu wabishi sana kuhusu dini, waumini msibishane nao.
2. Msibishane nao kwa kuwa, Allah mwenyewe amefanya mioyo yao kuwa mizito kumuamini, ameziba macho yao na masikio yao.
3. Watu hawa, kwa kuwa wamezibwa mioyo, macho na masikio wasimjue Allah, hawatamjua Allah.
4. Kisha, Allah atawahukumu vikali sana hawa watu, kwa sababu hawajamjua, wakati hawajamjua kwa sababu yeye mwenyewe kawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue.

Hivi mtu na akili zake akisoma hizi habari za Allah anakubali kabisa huyo Allah yupo, na ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Sijui nianzie wapi ila jua kua kuna ambao wakotayari kwenda motoni na ndo hao..afu hawataki kumrudia mungu wao ni viburi ila mungu ni kiburi zaidi yao..
Ktk uislam sifa za mungu ukiachana na hiyo ya upendo ulioing'angania tangu ufungue account jamiiforum sifa nyingine ya creator of universe ni KIBURI.
Na nyie mlio sema mungu kagongelewa kenchi kwenye ubao muje hapa..mnisaidie kumpa majibu Kiranga
 
Nina "The Meaning of The Holy Quran" ambacho ni Quran nzima, Kiarabu na Kiingereza, na maelezo ya tafsiri yaliyohaririwa

Ujinga mzigo sana,Yusuf Ali hana tafsiri ya Qur'aan bali Yusuf Ali ana tarjama ya Qur'aan.

Kuna aina mbili tu za tafsiri :

1. Tafsiri kwa sanadi kwa maada ya kurejea asili ya tafsiri Qur'aan kwa Qur'aan au kwa Hadithi.
2. Kuna Tafsiri ya Qur'aan kwa Rai.

Bora hata kidogo ungesema una Tafsiri ya Qur'aan ya Ibn Kathiir iliyotarujumiwa kwa Kiingereza hapo sawa au Tafsiir al Qurtubiy,wewe unaweza kusema hata zile tarjama za kiswahili za Qur'aan kama ile ya Sheikh Abdullah Saleh al Farsy nayo ni tafsiri au ile tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'waan.

Ndio maana hata zile unazoziita "Contradictions" katika Qur'aan ulizo zicopy kutoka mtandaoni ukiulizwa maswali kuhus usemazo "Contradictions" huwa hujibu sababu hukuzisoma kiundani zaidi ya ku copy na ku paste ndio maana nyote mnaonekana vituko na waongo wakubwa wazushi.

Hata hiyo tarjama ya Yusuf Ali utakuwa unajau jina tu ila nakala sidhani kama unayo,na hii ni dhana ghalibu kutokana na kukimbia kwako maswali juu ya mjadala wa "Contradictios" katika Qur'aan.
Kwa hivyo kunifikiria sijaijua Quran na nianze ku download Google Store leo, unaniweka chini sana.

Acha usanii,Qur'aan huijui na hujawahi kuijua. Huu ndio ukweli,na huwezi kuijadili Qur'aan zaidi ya ku copy na ku paste mbl ya uzushi dhidi ya Qur'aan na kutokomea.

Qur'aan kuijua unatakiwa uache kazi ufanye kazi.
Katika aya za mwanzoni tu unaambiwa kwamba.

Aya za mwanzo katika sura gani ? Inaonekana hata maana ya aya hujui wala sura,mwenye kuijua Qur'aan hawezi kusema "...katika aya za mwanzni tu....." hii kauli anaisema mjinga wa Qur'aan asie ijua kama wewe. Mwenye kuijua Qur'aan husema hivi "Aya za mwanzo katika sura fulani au aya za mwisho katika sura fulani"
 
Sihitaji Quran ya Google Store.
Katika aya za mwanzoni tu unaambiwa kwamba.
1. Kuna watu wabishi sana kuhusu dini, waumini msibishane nao.
2. Msibishane nao kwa kuwa, Allah mwenyewe amefanya mioyo yao kuwa mizito kumuamini, ameziba macho yao na masikio yao.
3. Watu hawa, kwa kuwa wamezibwa mioyo, macho na masikio wasimjue Allah, hawatamjua Allah.
4. Kisha, Allah atawahukumu vikali sana hawa watu, kwa sababu hawajamjua, wakati hawajamjua kwa sababu yeye mwenyewe kawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue.
Hivi mtu na akili zake akisoma hizi habari za Allah anakubali kabisa huyo Allah yupo, na ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Hujapata tafsiri sahihi! Aya inamaanisha kwamba watu wamekuwa wajeuri na wakorofi na wamejifanya wenyewe deaf (sum'un), dumb (bukm'un), blind (um'yun) na kamwe hawataamini na sio AllahSWT anayefanya wawe deaf, dumb, and blind ili wasiamini!
 
Hujapata tafsiri sahihi! Aya inamaanisha kwamba watu wamekuwa wajeuri na wakorofi na wamejifanya wenyewe deaf (sum'un), dumb (bukm'un), blind (um'yun) na kamwe hawataamini na sio AllahSWT anayefanya wawe deaf, dumb, and blind ili wasiamini!
Unaweza kuweka aya yenyewe hapa tuisome tuone kama Allah hakusema kwamba atawafanya mioyo yao iwe migumu na kuwaziba masikio na macho yao?
 
Kwaiyo Yesu hakujua kama anachopewa ni sumu?! Si anajua kila kitu lkn????
 
Unaweza kuweka aya yenyewe hapa tuisome tuone kama Allah hakusema kwamba atawafanya mioyo yao iwe migumu na kuwaziba masikio na macho yao?

Wewe zilete na wajuzi watakutafsiria! AllahSWT atafanya mioyo zile tu zilizojaa kiburi, ujeuri na ubishi ziwe migumu!

Watu wa dunia nzima wakiacha kumwamini Mungu, hakuna kitu kitachomzidishia au kumpunguzia. Yeye atabaki na sifa zake milele na milele.
 
Wanasema.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote.

Anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani kufanyika popote.

Hakuuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika.

Hata katika ulimwengu ambao dhambi inaweza kufanyika, aliweza kuumba watu ambao wanaweza kuishinda dhambi mara zote.

Hajaumba watu hao.

Kaumba watu ambao wanaweza kushindwa na dhambi.

Halafu watu hao wakishindwa na dhambi, kwa sababu Mungu kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika, na watu wanashindwa na dhambi, Mungu huyo atawahukumu watu hao kwa kuwachoma katika moto wa milele.

Ni kama Baba anayeweza kumsomesha mtoto wake shule (Mungu anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani) akaamua kumkataza mtoto wake asisome shule (Mungu huyo akaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika) halafu mtoto akishindwa kujua kusoma na kuandika kwa sababu (mtu akifanya dhambi) baba amuadhibu mtoto vikali (Mungu awaadhibu watu kwa moto wa milele).

The premise and narrative is illogical.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Baba mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kumkataza mtoto wake kwenda shule, halafu baba huyo huyo amuadhibu mtoto huyo, kwa kuwa hajui kusoma.

Huu ndio ujinga ninaokataa katika dini.
Kuna siku utakuja kumkiri Mungu Tena hapa. hapa jukwaan, Roho wa Mungu atasema nawe
 
Sihitaji Quran ya Google Store.

Kama umeniita hapa, ukifikiri nitapinga Wakristo tu, umekosea sana na hunielewi.

Nina "The Meaning of The Holy Quran" ambacho ni Quran nzima, Kiarabu na Kiingereza, na maelezo ya tafsiri yaliyohaririwa na Abdullah Yusuf Ali.

Kwa hivyo kunifikiria sijaijua Quran na nianze ku download Google Store leo, unaniweka chini sana.

Quran nao ina ujinga ule ule tu.

Katika aya za mwanzoni tu unaambiwa kwamba.

1. Kuna watu wabishi sana kuhusu dini, waumini msibishane nao.
2. Msibishane nao kwa kuwa, Allah mwenyewe amefanya mioyo yao kuwa mizito kumuamini, ameziba macho yao na masikio yao.
3. Watu hawa, kwa kuwa wamezibwa mioyo, macho na masikio wasimjue Allah, hawatamjua Allah.
4. Kisha, Allah atawahukumu vikali sana hawa watu, kwa sababu hawajamjua, wakati hawajamjua kwa sababu yeye mwenyewe kawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue.

Hivi mtu na akili zake akisoma hizi habari za Allah anakubali kabisa huyo Allah yupo, na ni Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
yaan unamziba masikio mtoto na pamba kwa lengo asikusikie, af unamwita asipokusikia unamchapa (wakati ulimziba masikio mwenyew kwa kusudi asikusikie)

Unamwonea
 
Kuna siku utakuja kumkiri Mungu Tena hapa. hapa jukwaan, Roho wa Mungu atasema nawe
Siku gani? Unaweza kuitaja mwaka, mwezi na tarehe tuanzishe countdown kabisa?

Kitu gani kinakupa kifua cha kusema hilo?

Yani wewe umejipa cheo cha kunielewa mimi kuliko ninavyojielewa mwenyewe?

Unaweza kuthibitisha Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo, na ukaondoa contradictions kwenye hoja ya kuwepo kwake?

Ukiweza hilo, hata huna haja ya kufanya utabiri wa uongo kwamba kuna siku nitakuja kumkiri Mungu.

Nitamkiri hata leo.

Jambo la kuwepo Mungu mwenye control yote si jambo baya kinadharia, ni jambo zuri sana. Litaondolea wengi sana wajibu wa mwisho kabisa.

Kama kuna Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote,yeye ndiye atawajibika kwa yote. Ningefurahi sana Mungu huyo angekuwepo.

Sipingi uwepo wa Mungu huyo kwa sababu sifurahii kuwapo kwake kinadharia. Napinga uwepo wa Mungu huyo kwa sababu hayupo.

Kwa sababu ukipima habari za kuwepo kwake, zinashindwa kusimama zikiwekwa katika mtigani mdogo tu wa mantiki.

Logical consistency.
 
Back
Top Bottom