Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Alikua na majibu ya nyodoDuh hivi jamaa yesu aliwakoseaga nini mbona walikuwa na hasira naye sana dah inauma sana
Yaan watu wamekupiga misumari wakaona haitosh wakampiga na sifongo tena
In short hakuna ulichoelezea kuhusu sifongo na siki, na mtu akisoma hawezi kujua ni kitu gani. Nadhani ungejazia content zaidi bandiko lako ili lieleweke hata kwa mtu wa kawaida!Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana
Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana
Muwe na mchana Mwema
sawa kiongozi ndio maana mwishoni nimesema. Ni mchanyiko wa sumu kaliIn short hakuna ulichoelezea kuhusu sifongo na siki, na mtu akisoma hawezi kujua ni kitu gani. Nadhani ungejazia content zaidi bandiko lako ili lieleweke hata kwa mtu wa kawaida!
sawa kiongozi ndio maana mwishoni nimesema. Ni mchanyiko wa sumu kali
Kwa Nini Sasa walimpa Yesu? Au waliona anachelewa kufa?
Mwana wa mungu? Basi huu ukoo ni mkubwa.Siio Mungu ni mwana wake
Alisema naona kiu wakamletea sumu badala ya maji au soda
Hizi ni sawa na stori za kina Idi Amini kula nyama za watuSalama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana
Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana
Muwe na mchana Mwema
Hapa Netanyahu atakua anaonewa ( Hope umeweka jina hilo uki present Myahudi/Wayahudi) cause kina Netanyahu walitaka auawe Yesu tena kwa kusurubiwa cause ndio ilikua style yao ya kuua watu wanao wadhania kua ni waovu but hayo mambo ya SIKI na ile misumari na style nyingine za uuaji walifanya wakoloni wao/watawala wao yaani Warumi/Waitalia so tuwaulize kina Beleskoni wa AC Milan ndio wanajua Zaidi hayo mambo ya SIKIB. Netanyau aulizwe maaana aaah
Waisrael ni kina naniKuna tofauti kati ya Wayahudi na Israel kaka mkuu
Nadhani waliona anawapotezea muda kwa kuendelea kumsubiri ili afeKwa Nini Sasa walimpa Yesu? Au waliona anachelewa kufa?
Waisraeli ni kabila 12 ya wana wa yakobo. Mojawapo ni kabila la wayuda, ambalo lilibaki na fimbo ya daudiWaisrael ni kina nani
Teheteheeey
Ndio uweke akilini tangu Leo hii