Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ujinga mzigo sana,Yusuf Ali hana tafsiri ya Qur'aan bali Yusuf Ali ana tarjama ya Qur'aan.

Kuna aina mbili tu za tafsiri :

1. Tafsiri kwa sanadi kwa maada ya kurejea asili ya tafsiri Qur'aan kwa Qur'aan au kwa Hadithi.
2. Kuna Tafsiri ya Qur'aan kwa Rai.

Bora hata kidogo ungesema una Tafsiri ya Qur'aan ya Ibn Kathiir iliyotarujumiwa kwa Kiingereza hapo sawa au Tafsiir al Qurtubiy,wewe unaweza kusema hata zile tarjama za kiswahili za Qur'aan kama ile ya Sheikh Abdullah Saleh al Farsy nayo ni tafsiri au ile tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'waan.

Ndio maana hata zile unazoziita "Contradictions" katika Qur'aan ulizo zicopy kutoka mtandaoni ukiulizwa maswali kuhus usemazo "Contradictions" huwa hujibu sababu hukuzisoma kiundani zaidi ya ku copy na ku paste ndio maana nyote mnaonekana vituko na waongo wakubwa wazushi.

Hata hiyo tarjama ya Yusuf Ali utakuwa unajau jina tu ila nakala sidhani kama unayo,na hii ni dhana ghalibu kutokana na kukimbia kwako maswali juu ya mjadala wa "Contradictios" katika Qur'aan.


Acha usanii,Qur'aan huijui na hujawahi kuijua. Huu ndio ukweli,na huwezi kuijadili Qur'aan zaidi ya ku copy na ku paste mbl ya uzushi dhidi ya Qur'aan na kutokomea.

Qur'aan kuijua unatakiwa uache kazi ufanye kazi.


Aya za mwanzo katika sura gani ? Inaonekana hata maana ya aya hujui wala sura,mwenye kuijua Qur'aan hawezi kusema "...katika aya za mwanzni tu....." hii kauli anaisema mjinga wa Qur'aan asie ijua kama wewe. Mwenye kuijua Qur'aan husema hivi "Aya za mwanzo katika sura fulani au aya za mwisho katika sura fulani"

Zurri habari yako, nakupongezaga sana kwa kua hujawahi kukashifu dini ya mtu kama wenzako/mwenzio huyu mtoa mada alichofanya, hata maana ya sifongo hajui bali amekurupuka.
 
Dah...ndo maana mungu anasisitiza kwa kusema NIJUENI VIZURI(sifa zangu) THEN NDO MNIABUDU.
Kiranga mungu sio THANOS au supermen.
Kiburi + upendo + contradict vyote kaumba yeye
Nnamaana situation yoyote ya vitu vyovyote kufanya contradiction ama kujicontradict katengeneza ama kaumba yeye..
Ubongo wa Binaadamu huawezi kuhandle kiburi na upendo ila kwa mungu inawezekana.
Kwa sababu yeye ndo muumba wa vitu vyote na Hali zote

Deus ex machina.

Ukikataa logical consistency, unakataa uwepo wa Mungu.

Unaelewa hilo?
 
Hapa Netanyahu atakua anaonewa ( Hope umeweka jina hilo uki present Myahudi/Wayahudi) cause kina Netanyahu walitaka auawe Yesu tena kwa kusurubiwa cause ndio ilikua style yao ya kuua watu wanao wadhania kua ni waovu but hayo mambo ya SIKI na ile misumari na style nyingine za uuaji walifanya wakoloni wao/watawala wao yaani Warumi/Waitalia so tuwaulize kina Beleskoni wa AC Milan ndio wanajua Zaidi hayo mambo ya SIKI
Yesu alikuwa muhaini kwa kudai yeye ndiye mfalme wa wayahudi wakati akijua ufalme ule ulikuwa chini ya warumi, na adhabu aliyopata ndio walikuwa wanapata wahaini na wakosaji wengine wakubwa.
 
ACHA KUWAONGOPEA WATU, HIYO SIFONGO ILIYOTIWA SIKI NI KAMA LAPULAPU AU TAMBARA LILILOWEKWA KWENYE VINEGAR. HII ILIKUWA IKITUMIWA KUWAPUNGUZIA MAUMIVU WALIOSULUBIWA KATIKA ENZI ZA ROMAN EMPIRE.
Naam, wewe sasa ndo umetoa jibu sawasawa kwa uelewa wangu. Watakaogoogle vinegar wataona inavyopatikana, kifupi inapatikana kwa fermentation ya ethanol kwenda kuwa acetic acid kwa kutumia acetic acid bacteria.
 
Kumbe sifongo ni tafsiri ya sponge ya kiingereza. Hapa inaeleweka - kwa sababu Yesu alitundikwa juu ya msalaba palikuwa hamna jinsi ya kumfikishia chupa au glassi, ndio maana wakatumbikiza spongi kwenye siki (vinegar), na ile sponge iliyonyonya siki wakaweka juu ya mkuki na kumfikishia Yesu juu msalabani. Kitambaa pia inaweza kutimika kama sponge (sifongo) na hapa imetumika kama chombo tu na haina connection na sumu!

Siki ingawa ni chungu, lakini Roman soldiers walikuwa wanatumia kama kinywaji enzi zile!

Hata pombe ni chungu, lakini tunatumia kama kiburudisho mpaka enzi hizi!
 
Mungu kafa? AstaghafiruLlah.
tatizo uelewa,mungu sio mtu,mungu ni cheo,kama rais nk,ndio maana biblia inasema ,,mungu wa dunia hii,,wengine mungu wao ,ngo'mbe,,,wengine mungu wao,sanamu,,wengine Mungu wao Yesu,,nk,,usilazimishe mungu unaemwabudu wewe,wote wamfate huyohuyo.kama unamwamini wewe huyo ni wako,usiwalazimishe na wengine,uwe na amani tu,usiwaonee wivu wengine..
 
Yesu alikuwa muhaini kwa kudai yeye ndiye mfalme wa wayahudi wakati akijua ufalme ule ulikuwa chini ya warumi, na adhabu aliyopata ndio walikuwa wanapata wahaini na wakosaji wengine wakubwa.
Sijaelewa, umenisahihisha au ulikua unaongezea nilipoachana napo? Napenda sana kujifunza kwa wengine pia, please fafanua.
 
Kinuri na upendo haviwezi kukaa pamoja, hizi ni sifa zinazoji contradict.

Huu uongo hata mtoto mdogo hawezi kuuongea. Kiburi ni sifa na upendo kadhalika. Hizi tabia zimeumbwa na mwanadamu anazo na Allah anayo sifa hii,bali kwa mwanadamu ni jambo baya kuwa na kiburi ila kwa Mola mlezi ni sifa anuai anayo pambika nayo.

Wewe huwezi kuniambia kwanini kiburi ni sifa mbaya kwa mwanadamu,lakini mimi naweza kukwambia kwanini ni sifa mbaya kwa mwanadamu.

Watu wana viburi na watu hao hao wana upendo kwa vitu wavioendavyo.

Giza tu ndio halikai pamoja na Nuru. Unatakiwa uwe unasoma huku unatafakari.
Mungu mwenye sifa ya upendo wote hawezi kuwa na kiburi.

Unajua kiburi cha Allah kama sifa yake anuai kipo wapi au unakataa sababu wewe ni mjinga ?

Hivi ukiambiwa Allah ana mikono,unafikiri mikono yake ni sawa na mikono yako ? Au mathalani,birika nalo lina mkono je mkonk wa birika ni sawa na mkono wako ? Sasa unatakiwa ufikirie kwa elimu.
Mungu wako ni wa kutungwa, na amefanywa kuwa egotistic.

kusema ni wa kutungwa tu,bila kuelezea alitungwa vipi na nani wa kwanza kumtunga na ilikuwa lini ? Wewe ni mzushi,muongo tena muovu na unaihujumu elimu na watu wake.

Kama wewe unasema kweli,tueleze tu ilikuwaje mpaka binadamu wakamtunga Mungu na ilikuwa lini ?
Kiburi ni weakness, si sifa ya uungu. Si sifa ya intelligence.

Kiburi ni udhaifu kwa nani ? Kiburi ni sifa ya udhaifu wa binadamu pekee lakin kwa Allah ni kamili,ndio maana anafanya mambo anayotaka yeye,kama alivyo waambia kama mnakataa yeye hayupo basi mzuie kifo na wala haulizwi kwa yale anayo yatenda bali wewe ndio utaulizwa na mimi nitaulizwa na wale wataulizwa.
Jibu lako linaonesha huyo Mungu katungwa na watu wanaooenda kiburi.

Usikimbie kivuli chako mwenyewe,usiseme tu linaonyesha bali unyesha lina onyesha wapi ?
Hayupo katika uhalisia.

Naomba uniambie nini maana ya "Uhalisia" ?

Huwa nawaambia sana na nitakariri tena na tena elimu ya maana ya maneno hamjui.

Nipo .......
 
Acha uongo ukitazama tafsiri ya kiingereza Sifongo ni sponge hivyo si silaha yoyote ,Warumi walichovya sponge kwenye siki ndo wakampa Yesu na siki sio sumu bali ni vinegar wine so yesu hakupewa sumu bali Divai iliyochachu sana ,acha kuandika uzushi eti nyongo ya mamba na mifupa ya nyoka uongo mtupu ,fanya uchunguzi kabla kupost
hii apa tafsiri ya kiingereza ya neno hilo
NIV
Matthew 27:48"immediately one of them ran and got a sponge ,he filled it with wine vinegar,put it on a staff ,and offered it to christ...."
 
Sifongo ni kitu gani?
Sifongo ni spoji, just kama ya godoro
Mark 15:36 New International Version (NIV)
36 Someone ran, filled a sponge with wine vinegar, put it on a staff, and offered it to Jesus to drink.


Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Ni sponji iliyojazwa vinegar

Kwa ufupi umepotosha
 
Back
Top Bottom