binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
ACHA KUWAONGOPEA WATU, HIYO SIFONGO ILIYOTIWA SIKI NI KAMA LAPULAPU AU TAMBARA LILILOWEKWA KWENYE VINEGAR. HII ILIKUWA IKITUMIWA KUWAPUNGUZIA MAUMIVU WALIOSULUBIWA KATIKA ENZI ZA ROMAN EMPIRE.
Ujinga mzigo sana,Yusuf Ali hana tafsiri ya Qur'aan bali Yusuf Ali ana tarjama ya Qur'aan.
Kuna aina mbili tu za tafsiri :
1. Tafsiri kwa sanadi kwa maada ya kurejea asili ya tafsiri Qur'aan kwa Qur'aan au kwa Hadithi.
2. Kuna Tafsiri ya Qur'aan kwa Rai.
Bora hata kidogo ungesema una Tafsiri ya Qur'aan ya Ibn Kathiir iliyotarujumiwa kwa Kiingereza hapo sawa au Tafsiir al Qurtubiy,wewe unaweza kusema hata zile tarjama za kiswahili za Qur'aan kama ile ya Sheikh Abdullah Saleh al Farsy nayo ni tafsiri au ile tarjama ya Sheikh Ali Muhsin al Bar'waan.
Ndio maana hata zile unazoziita "Contradictions" katika Qur'aan ulizo zicopy kutoka mtandaoni ukiulizwa maswali kuhus usemazo "Contradictions" huwa hujibu sababu hukuzisoma kiundani zaidi ya ku copy na ku paste ndio maana nyote mnaonekana vituko na waongo wakubwa wazushi.
Hata hiyo tarjama ya Yusuf Ali utakuwa unajau jina tu ila nakala sidhani kama unayo,na hii ni dhana ghalibu kutokana na kukimbia kwako maswali juu ya mjadala wa "Contradictios" katika Qur'aan.
Acha usanii,Qur'aan huijui na hujawahi kuijua. Huu ndio ukweli,na huwezi kuijadili Qur'aan zaidi ya ku copy na ku paste mbl ya uzushi dhidi ya Qur'aan na kutokomea.
Qur'aan kuijua unatakiwa uache kazi ufanye kazi.
Aya za mwanzo katika sura gani ? Inaonekana hata maana ya aya hujui wala sura,mwenye kuijua Qur'aan hawezi kusema "...katika aya za mwanzni tu....." hii kauli anaisema mjinga wa Qur'aan asie ijua kama wewe. Mwenye kuijua Qur'aan husema hivi "Aya za mwanzo katika sura fulani au aya za mwisho katika sura fulani"
Zurri habari yako, nakupongezaga sana kwa kua hujawahi kukashifu dini ya mtu kama wenzako/mwenzio huyu mtoa mada alichofanya, hata maana ya sifongo hajui bali amekurupuka.
Mungu kafa? AstaghafiruLlah.
hivi huyu faiza ni islamic siyoWewe bibi unapendaga hizi mada, kama unajua dini yako vyema mfundishe Kiranga ambae haamini uwepo wa Mungu
Dah...ndo maana mungu anasisitiza kwa kusema NIJUENI VIZURI(sifa zangu) THEN NDO MNIABUDU.
Kiranga mungu sio THANOS au supermen.
Kiburi + upendo + contradict vyote kaumba yeye
Nnamaana situation yoyote ya vitu vyovyote kufanya contradiction ama kujicontradict katengeneza ama kaumba yeye..
Ubongo wa Binaadamu huawezi kuhandle kiburi na upendo ila kwa mungu inawezekana.
Kwa sababu yeye ndo muumba wa vitu vyote na Hali zote
hivi huyu faiza ni islamic siyo
Yesu alikuwa muhaini kwa kudai yeye ndiye mfalme wa wayahudi wakati akijua ufalme ule ulikuwa chini ya warumi, na adhabu aliyopata ndio walikuwa wanapata wahaini na wakosaji wengine wakubwa.Hapa Netanyahu atakua anaonewa ( Hope umeweka jina hilo uki present Myahudi/Wayahudi) cause kina Netanyahu walitaka auawe Yesu tena kwa kusurubiwa cause ndio ilikua style yao ya kuua watu wanao wadhania kua ni waovu but hayo mambo ya SIKI na ile misumari na style nyingine za uuaji walifanya wakoloni wao/watawala wao yaani Warumi/Waitalia so tuwaulize kina Beleskoni wa AC Milan ndio wanajua Zaidi hayo mambo ya SIKI
Naam, wewe sasa ndo umetoa jibu sawasawa kwa uelewa wangu. Watakaogoogle vinegar wataona inavyopatikana, kifupi inapatikana kwa fermentation ya ethanol kwenda kuwa acetic acid kwa kutumia acetic acid bacteria.ACHA KUWAONGOPEA WATU, HIYO SIFONGO ILIYOTIWA SIKI NI KAMA LAPULAPU AU TAMBARA LILILOWEKWA KWENYE VINEGAR. HII ILIKUWA IKITUMIWA KUWAPUNGUZIA MAUMIVU WALIOSULUBIWA KATIKA ENZI ZA ROMAN EMPIRE.
Kumbe sifongo ni tafsiri ya sponge ya kiingereza. Hapa inaeleweka - kwa sababu Yesu alitundikwa juu ya msalaba palikuwa hamna jinsi ya kumfikishia chupa au glassi, ndio maana wakatumbikiza spongi kwenye siki (vinegar), na ile sponge iliyonyonya siki wakaweka juu ya mkuki na kumfikishia Yesu juu msalabani. Kitambaa pia inaweza kutimika kama sponge (sifongo) na hapa imetumika kama chombo tu na haina connection na sumu!
Siki ingawa ni chungu, lakini Roman soldiers walikuwa wanatumia kama kinywaji enzi zile!
tatizo uelewa,mungu sio mtu,mungu ni cheo,kama rais nk,ndio maana biblia inasema ,,mungu wa dunia hii,,wengine mungu wao ,ngo'mbe,,,wengine mungu wao,sanamu,,wengine Mungu wao Yesu,,nk,,usilazimishe mungu unaemwabudu wewe,wote wamfate huyohuyo.kama unamwamini wewe huyo ni wako,usiwalazimishe na wengine,uwe na amani tu,usiwaonee wivu wengine..Mungu kafa? AstaghafiruLlah.
Sijaelewa, umenisahihisha au ulikua unaongezea nilipoachana napo? Napenda sana kujifunza kwa wengine pia, please fafanua.Yesu alikuwa muhaini kwa kudai yeye ndiye mfalme wa wayahudi wakati akijua ufalme ule ulikuwa chini ya warumi, na adhabu aliyopata ndio walikuwa wanapata wahaini na wakosaji wengine wakubwa.
Nilikuwa najazia kidogo ulichokisema na ninachokielewa mkuu, nami pia naendelea kujifunza.Sijaelewa, umenisahihisha au ulikua unaongezea nilipoachana napo? Napenda sana kujifunza kwa wengine pia, please fafanua.
Kinuri na upendo haviwezi kukaa pamoja, hizi ni sifa zinazoji contradict.
Mungu mwenye sifa ya upendo wote hawezi kuwa na kiburi.
Mungu wako ni wa kutungwa, na amefanywa kuwa egotistic.
Kiburi ni weakness, si sifa ya uungu. Si sifa ya intelligence.
Jibu lako linaonesha huyo Mungu katungwa na watu wanaooenda kiburi.
Hayupo katika uhalisia.
Sifongo ni spoji, just kama ya godoroSifongo ni kitu gani?
Ni sponji iliyojazwa vinegarJe sifongo katika siki imetengenezwaje?
@kiranga unataka proofs za uwepo wa mungu??Deus ex machina.
Ukikataa logical consistency, unakataa uwepo wa Mungu.
Unaelewa hilo?
mungu au Mungu?@kiranga unataka proofs za uwepo wa mungu??
Dah...sio poa!Yesu wenu ni dhaifu sanaaaaa
Aliweza kufufua wafu alishindwaje kungoa vimisumari viwilii..akaamza kulia..
Hivi wafia dini haya maswali mbona hampendi kujiiuliza..?!
Nna maanisha mungu muumba wa ulimwengu, dimensions,situation,space and timemungu au Mungu?
Gani?