ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Hao si ndio Wana hela? Mbu huko Ifakara nasikia ni majangaNenda Ifakara utengeneze pesa kupitia kilimo mkuu.
Nimekaa Miji yote miwili Kasulu mazingira ya utafutaji ni magumu labda uwe umeajiriwa lkn hustling za mtaani ni ngumu. Kama umesoma pale Kasulu ndio Makao ya UNHCR na kuna NGO za Kimataifa zaidi ya 50 kamji kaamejaaa LANDCRUISER za UNHCR na Mashirika washirika wa UNHCR. Kuna Udongo mwekunduuu na utelezi wa kutosha wakati wa Mvua.
Ifakara ni bondeni, mafuriko anytime tu, wakati wa mvua tope kama lote kitaa.
Vibarua vyaa mashambani wakati wa kilimo hata kiangazi kwa siku hukosi elfu 30.
Kazi kwako
Kasulu ni Center of bussiness mkoa wa kigomaMiji yote ni Mikubwa na inakua Kwa Kasi.
Kasulu ndio Mji mkubwa in terms of population Kwa Mkoa wa Kigoma na uko jirani na Burundi.
Ifakara ndio Mji wa Pili Kwa Ukubwa Mkoa wa Morogoro na Maarufu Kwa Biashara ya mazao.
Kwa.kuzingatia vigeso vyote,wapi panafaa Kutengeneza maisha?
Hivi kule Station ya Tazara saizi makazi yamesogea na miundombinu mingine ipo? Nilipita kitambo sana.Sijawahi kufika Kasulu. Ila nimeishi Ifakara na Wilaya za Kilombero, Mlimba, Malinyi, na Ulanga kwa miaka mingi! Hakika Ifakara imebakia kuwa ndiyo kitovu cha biashara kwa hayo maeneo yote.
Sema pana mbu pale mahali! Na joto kali miezi ya mwishoni mwa mwaka. Ila ukija kwenye chakula, samaki na mchele ni bwelele.
We jamaa bana,si ndio mji unatakiwa kuwa hivi au?maana huduma zote muhimu zipoHuko ifakara kuna nini? Zaidi ya kukuta Guest House, Baa, Frame,Maduka ya nguo,Saloon,Car wash na Maduka ya bidhaa za Jumla.
Miji ya Tanzania iko sawa inafanana hakuna kitu kipya
Sasa hivi Ifakara yote imechangamka. Na lami ikikamilika, nadhani itachangamka mara dufu.Hivi kule Station ya Tazara saizi makazi yamesogea na miundombinu mingine ipo? Nilipita kitambo sana.
Kuna mtu jana tuu nilikua tunaongea kuhusu hilo, kila mtu akabaki na mtazamo wake, maana kasulu siijui.
Nikamwambia Hata Mbeya Town kwa ifakara inakimbizwa.
Duu hiyo Kali kwamba Ifakara Kuna pesa kushinda Mbeya? Basi Ifakara ni JijiKuna mtu jana tuu nilikua tunaongea kuhusu hilo, kila mtu akabaki na mtazamo wake, maana kasulu siijui.
Nikamwambia Hata Mbeya Town kwa ifakara inakimbizwa.
Wewe ndio unafananisha magorofa na pesa.ushafika sehemu za machimbo.Duu hiyo Kali kwamba Ifakara Kuna pesa kushinda Mbeya? Basi Ifakara ni Jiji
Ukitoa hayo mashirika ya UN huko kasulu nadhani hamna kitu. Ila Wana ardhi nzuri nadhani kila zao linakubali; shida inakuwa sokoNenda Ifakara utengeneze pesa kupitia kilimo mkuu.
Nimekaa Miji yote miwili Kasulu mazingira ya utafutaji ni magumu labda uwe umeajiriwa lkn hustling za mtaani ni ngumu. Kama umesoma pale Kasulu ndio Makao ya UNHCR na kuna NGO za Kimataifa zaidi ya 50 kamji kaamejaaa LANDCRUISER za UNHCR na Mashirika washirika wa UNHCR. Kuna Udongo mwekunduuu na utelezi wa kutosha wakati wa Mvua.
Ifakara ni bondeni, mafuriko anytime tu, wakati wa mvua tope kama lote kitaa.
Vibarua vyaa mashambani wakati wa kilimo hata kiangazi kwa siku hukosi elfu 30.
Kazi kwako
Hapo kwenye Ardhi nzuri ndio napataka Sasa maana bila Ardhi huwezi kuwa TajiriUkitoa hayo mashirika ya UN huko kasulu nadhani hamna kitu. Ila Wana ardhi nzuri nadhani kila zao linakubali; shida inakuwa soko
Kwani Ifakara Ina jipya gani? Kwanza Kasulu unaijua au unaisikia? Nyie mumekariri kwamba Kigoma hakuna kitu,pole sana.
View attachment 2760199
Hizo kama ni Solar panels basi wako mbali sana haoKwani Ifakara Ina jipya gani? Kwanza Kasulu unaijua au unaisikia? Nyie mumekariri kwamba Kigoma hakuna kitu,pole sana.
View attachment 2760197View attachment 2760198View attachment 2760199
Eti Ka Seoul ππππAcha kufananisha Ka-Seoul na vitu miji ya ufukara
Kasulu ni bonge la townNimefika kasulu sijafika ifakara,ila habari nazozisikia ifakara kuko vzr kiuchumi. Kasulu ukiondoa international NGOs kubabaki mahame tu[emoji28]
Leta japo picha kadhaa za Ifakara.Ifakara papo vzuri kwa kijana mtafutaji.....kule kulala na njaa kupenda,ukufuga kuku pesa,samaki pesa ngombe/mbuzi pesa,bata pesa,kilimo chochote kinakubali pesa.....yani ni nguvu yako na akili yako tu