Ifakara vs Kasulu Mji gani umechangamka na unafaa Kuishi?

Ifakara vs Kasulu Mji gani umechangamka na unafaa Kuishi?

Nenda Ifakara utengeneze pesa kupitia kilimo mkuu.
Nimekaa Miji yote miwili Kasulu mazingira ya utafutaji ni magumu labda uwe umeajiriwa lkn hustling za mtaani ni ngumu. Kama umesoma pale Kasulu ndio Makao ya UNHCR na kuna NGO za Kimataifa zaidi ya 50 kamji kaamejaaa LANDCRUISER za UNHCR na Mashirika washirika wa UNHCR. Kuna Udongo mwekunduuu na utelezi wa kutosha wakati wa Mvua.
Ifakara ni bondeni, mafuriko anytime tu, wakati wa mvua tope kama lote kitaa.
Vibarua vyaa mashambani wakati wa kilimo hata kiangazi kwa siku hukosi elfu 30.
Kazi kwako
Hao si ndio Wana hela? Mbu huko Ifakara nasikia ni majanga
 
Sijawahi kufika Kasulu. Ila nimeishi Ifakara na Wilaya za Kilombero, Mlimba, Malinyi, na Ulanga kwa miaka mingi! Hakika Ifakara imebakia kuwa ndiyo kitovu cha biashara kwa hayo maeneo yote.

Sema pana mbu pale mahali! Na joto kali miezi ya mwishoni mwa mwaka. Ila ukija kwenye chakula, samaki na mchele ni bwelele.
 
Miji yote ni Mikubwa na inakua Kwa Kasi.

Kasulu ndio Mji mkubwa in terms of population Kwa Mkoa wa Kigoma na uko jirani na Burundi.

Ifakara ndio Mji wa Pili Kwa Ukubwa Mkoa wa Morogoro na Maarufu Kwa Biashara ya mazao.

Kwa.kuzingatia vigeso vyote,wapi panafaa Kutengeneza maisha?
Kasulu ni Center of bussiness mkoa wa kigoma
 
Sijawahi kufika Kasulu. Ila nimeishi Ifakara na Wilaya za Kilombero, Mlimba, Malinyi, na Ulanga kwa miaka mingi! Hakika Ifakara imebakia kuwa ndiyo kitovu cha biashara kwa hayo maeneo yote.

Sema pana mbu pale mahali! Na joto kali miezi ya mwishoni mwa mwaka. Ila ukija kwenye chakula, samaki na mchele ni bwelele.
Hivi kule Station ya Tazara saizi makazi yamesogea na miundombinu mingine ipo? Nilipita kitambo sana.
 
Kuna mtu jana tuu nilikua tunaongea kuhusu hilo, kila mtu akabaki na mtazamo wake, maana kasulu siijui.

Nikamwambia Hata Mbeya Town kwa ifakara inakimbizwa.
Kuna mtu jana tuu nilikua tunaongea kuhusu hilo, kila mtu akabaki na mtazamo wake, maana kasulu siijui.

Nikamwambia Hata Mbeya Town kwa ifakara inakimbizwa.
Duu hiyo Kali kwamba Ifakara Kuna pesa kushinda Mbeya? Basi Ifakara ni Jiji
 
Nenda Ifakara utengeneze pesa kupitia kilimo mkuu.
Nimekaa Miji yote miwili Kasulu mazingira ya utafutaji ni magumu labda uwe umeajiriwa lkn hustling za mtaani ni ngumu. Kama umesoma pale Kasulu ndio Makao ya UNHCR na kuna NGO za Kimataifa zaidi ya 50 kamji kaamejaaa LANDCRUISER za UNHCR na Mashirika washirika wa UNHCR. Kuna Udongo mwekunduuu na utelezi wa kutosha wakati wa Mvua.
Ifakara ni bondeni, mafuriko anytime tu, wakati wa mvua tope kama lote kitaa.
Vibarua vyaa mashambani wakati wa kilimo hata kiangazi kwa siku hukosi elfu 30.
Kazi kwako
Ukitoa hayo mashirika ya UN huko kasulu nadhani hamna kitu. Ila Wana ardhi nzuri nadhani kila zao linakubali; shida inakuwa soko
 
Ukitoa hayo mashirika ya UN huko kasulu nadhani hamna kitu. Ila Wana ardhi nzuri nadhani kila zao linakubali; shida inakuwa soko
Hapo kwenye Ardhi nzuri ndio napataka Sasa maana bila Ardhi huwezi kuwa Tajiri
 
Ifakara papo vzuri kwa kijana mtafutaji.....kule kulala na njaa kupenda,ukufuga kuku pesa,samaki pesa ngombe/mbuzi pesa,bata pesa,kilimo chochote kinakubali pesa.....yani ni nguvu yako na akili yako tu
 
Ifakara papo vzuri kwa kijana mtafutaji.....kule kulala na njaa kupenda,ukufuga kuku pesa,samaki pesa ngombe/mbuzi pesa,bata pesa,kilimo chochote kinakubali pesa.....yani ni nguvu yako na akili yako tu
Leta japo picha kadhaa za Ifakara.

Ka Seoul ni 🔥🔥
20231031_132253.jpg
20231031_132309.jpg
20231031_132247.jpg
 
Back
Top Bottom