IFFHS Ranking: Simba SC ya tisa, Yanga haimo

Any updates?
 
Hahahahahah
We jamaa nyuzi zako ndo hua zinakuhukumu tupe sasa new update [emoji16][emoji28][emoji1787]
 
Utaenda peponi [emoji123][emoji123] una akili sana
 
Hawa ndugu zako huwa wanajiondoa ufahamu wanashirikisha akili zao kidogo sana wanaongozwa na mapenzi zaidi
 
Mamalelod na Simba wanazidiana point moja
 
Ona huyu bwege anajifichia kwenye Simba. Timu mbovu inafika robo fainali? Yaani kati ya timu 1000 zimebaki timu nane bora. Halafu unasema timu sio nzuri
Mkuu una la kuongeza? Maana muda umethibitisja niliyokuwa nikisema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…