Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Unadhani tatizo ilikuwa ni jina au watu? Wewe yatakuja kukutokea siku moja, najua utalia kimyakimya laikini utakuwa umelipwa sawasawa na ukatili wako.Wao walitaka watu wa SWAT watoke wapi?
Yani mfano leo ukiivunja FFU unaenda kuwapata wapi watu wa unit mpya ya kuzuia vurugu?