Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

umeona ya congo juzikati hapa mkuu??
walilazwa raia kama kuku,zilizagaa video tupu mitandaoni.


yaani unapoandamana hakikisha nyuma yako ipo haki tu,sio msukumo kutoka sehemu,utauwawa tu.ili kupisha amani itawale.angalia wajinga wameanza kuchoma mali za uma,vituo vya mabasi ya mwendokasi nk.
Ndio muelewe haki huinua taifa! Kila mtu kwa nafasi yake aliyopewa akiwa mtenda haki na kuwajibika basi amani na mshikamano hushamiri!

Kuna mengi ya kujifunza kupitia kwa wenzetu!Vyombo vyetu vya dola vitende haki muda wote!
 
Kuna Mambo Ambayo Watu hua wanayafanya na hayana faida Ila hasara tu...
Kwanza jua kuwa wana lockdown ya corona (so awana kazi wengi wao na hii kwao ni fursa ya kutoka nje)

2. Ukosefu wa ajira, rushwa na ukosefu wa fursa, vijana wanataka kuiondoa serikali madarakani, so Ao ant crime police SAR brutality ni kuni tu kuchochea haya yanayoendelea.

Toka jana wanaitaka serikali yote ijiuzuru na leo mchana walikuwa wanaelekea nyumbani kwa one of Godfather wa siasa za Nigeria aitwae Tinubu (king maker of Nigeria politics) ambae mida ya saa saba mchana wa leo alikuwa anasemekana anataka enda UK na Gulf stream kukimbia haya machafuko.

Kwa ufupi ni kuwa madudu yote ya utawala wa Nigeria unafumuliwa na haya maandamano na inaonekana kabisa Serikali ya Nigeria itaondoka kwani Jeshi limeanza kuua watu,na hili nalo linachochea kelele toka duniani kote na hali inazidi kuwa mbaya, Rais ajaweza Hata ongea na wanaijeria toka haya maandamano yaanze
 
Mpaka sasa sijaelewa kama mtoa mada anauliza swali akitaka kujua hqli ya Nigeria au anakemea WaNigeria kwa kuwa yeye anaijua zaidi hali ya Wa Nigeria kuliko wao Wa Nigeria wenyewe.
Anapost kutokea Manzese huyo...
 
Kwanza jua kuwa wana lockdown ya corona(so awana kazi wengi wao na hii kwao ni fursa ya kutoka nje)
2.Ukosefu wa ajira,rushwa,na ukosefu wa fulsa ...
Wamechoma Tv station yake yote na mali zake zingine hao waandamanaji wakimtia mkononi tinubu [emoji23][emoji23][emoji23]watamgawagawa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Wamechoma Tv station yake yote,na mali zake zingine hao waandamanaji wakimtia mkononi tinubu[emoji23][emoji23][emoji23]watamgawagawa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 Madogo awataki mchezo mchezo watamgawana kama vipande vya mshikaki!! Ila ameshakimbilia UK na ndege yake
 
Ndio muelewe haki huinua taifa!Kila mtu kwa nafasi yake aliyopewa akiwa mtenda haki na kuwajibika basi amani na mshikamano hushamiri!
Kuna mengi ya kujifunza kupitia kwa wenzetu!Vyombo vyetu vya dola vitende haki muda wote!

Mkuu haki hupata cheti cha kutambulika kwa kutegemea anayeitizama amekaa wapi.

Wananchi wanaona SARS ni kirusi,serikali inaona ni chombo chake cha kuhudumia wananchi, kikubwa ni busara ya kukubaliana na tofauti hizo na kuamua kujenga chombo kitakachotoa huduma katika namna itakayovumiliwa upande wote.

Fikiria leo wananchi waandamane sababu hawataki kitengo cha usalama barabarani sababu wanachukua rushwa, serikali inaamua kusikiliza inakifuta. Lakini wananchi wanarudi barabarani sababu hawana imani na kitengo kipya kilochoundwa, kabla hata hawajapima mwenendo wake wa utendaji ni wazi watakuwa wanahitaji jambo jingine.
 
Wamechoma Tv station yake yote,na mali zake zingine hao waandamanaji wakimtia mkononi tinubu[emoji23][emoji23][emoji23]watamgawagawa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ndio maana unaona kina Magufuli wanaogopa nguvu ya umma, ni kitu kingine kabisa hasira zote zitaishia kwao!
 
Machafuko yaangalie kideoni ndugu yangu,, haujawai kupata feeling upo kwenye mishe zako unapokea simu mama yako amekatwa kichwa, au mkeo au mwanao wa kike amelf** lwa kabla yankuchinjwa.

Acha kabisa, tupiganie amani amani.

Ndio sababu tunapiga kelele kila siku, msipende kuchezea amani.

Mavichaa machache yanaamua kuingia barabarani kufanya fujo, sio maandamano maana mpaka mali za umaa zinachomwa moto sasa, utasema wana nia njema na taifa lao hawa kama sio vichaa tu waliokata tamaa na kesho yao! Wacha wafe pumbavu.
 
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.

Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.

Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.

Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?

Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
mkuu ukishaona maandamano yameanza basi tambua serikali inaelekea kuondolewa madarakani..........


hata hapa kwetu jamaa wanaogopa maandamano kwa sababu wanajua ishu ikianza itawaondoa wote madarakani, na huu moto sasa inaonekana umehamia kwa sisi weusi maana waarabu walishamaliza kazi yao!
 
mkuu haki hupata cheti cha kutambulika kwa kutegemea anayeitizama amekaa wapi.

wananchi wanaona SARS ni kirusi,serikali inaona ni chombo chake cha kuhudumia wananchi,kikubwa ni busara ya kukubaliana na tofauti hizo na kuamua kujenga chombo kitakachotoa huduma katika namna itakayovumiliwa upande wote.

fikiria leo wananchi waandamane sababu hawataki kitengo cha usalama barabarani sababu wanachukua rushwa,serikali inaamua kusikiliza inakifuta.lakini wananchi wanarudi barabarani sababu hawana imani na kitengo kipya kilochoundwa,kabla hata hawajapima mwenendo wake wa utendaji.ni wazi watakuwa wanahitaji jambo jingine.
Malalamiko yalikuwepo muda mrefu!Sio suala la kukurupuka tu na kuandamana!Lakini serikali ilitia pamba muda wote na ndio maana yamefikia hapa!Hapo juu nimesisitiza juu ya kutenda haki kwa kila mtu katika nafasi yake!

Hapo ninamaana maandamano hayo si kwamba wanaondamana wote ni wahanga wa jambo hilo moja!Wengine ndio wamepata daraja la kupitia kwa kutotendewa haki katika katika maeneo mengine,wengine ni kwa ajili ya ndugu zao na wengine ni kwa chuki waliyonayo dhidi ya utawala!

Suluhu ipatikane lakini tujifunze jambo hapo! Imagine kama hiyo fursa uliyosema ikitokea hapa kwetu na tuseme wananchi waandamane dhidi ya askari wa barabarani kama ulivyosema! Wengine wanaweza kutumia mwanya huo kwa ajili ya machungu waliyonayo dhidi ya jeshi la polisi na vyombo vingine ambavyo vimekuwa mwiba kwao!

Kuna watakaotumia mwanya huo kufanya vurugu na kuharibu mali za serikali kwa kuamini ni kulipa kisasi kwa namna moja au nyingine kwa namna walivyoguswa!

Ndio hapo nasema, haki siku zote hujenga na kuinua umoja na amani ya taifa!Ni somo zuri kwa sisi ambao hayajatukuta ya kiwango hicho cha kutoana roho!
 
Nakumbuka huyo Buhari na chama chake walivyoingia madarakani kwa mbwembwe!
 
ndio sababu tunapiga kelele kila siku,msipende kuchezea amani.

mavichaa machache yanaamua kuingia barabarani kufanya fujo,sio maandamano maana mpaka mali za umaa zinachomwa moto sasa,utasema wana nia njema na taifa lao hawa kama sio vichaa tu waliokata tamaa na kesho yao!!!!wacha wafe pumbavu.
Ndio mana tunasema uchaguzi uwe huru na haki maana bila hivyo wataumia wanaohusika na wasiohusika!


Mkuu hapa unaweza sema mimi sitaenda huko kwenye maandamano lakn wachache watakaoenda moto ukipamba athari zitakufikia hata wewe!


Tupaze sauti zetu kudai haki na sio vinginevyo hasa kwenye huu uchaguzi!
 
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.

Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.

Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.

Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?

Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
Wabepari wameshatia mkono wao hapo mbona hatari mungu saidia tanzania na hili balaa
 
kwani wanaigeria ni malaika???

nao wana wapuuzi kibao tu,ambao unaweza kuwatumia kwa manufaa yako,ref boko haram.
Sio wapuuzi,huenda wao pia wameumizwa kwa namna nyingine na wamepatia sehemu ya kutolea hasira zao!
Serikali za kiafrica zinajisahau sana!
 
Maandamano yalikuwa ya kupinga ukatili wa polisi ila kwa sasa yanaelekea kuchukua mkondo wa kisiasa.
 
Wao walitaka watu wa SWAT watoke wapi?

Yani mfano leo ukiivunja FFU unaenda kuwapata wapi watu wa unit mpya ya kuzuia vurugu?
J K Nyerere sijui aliwezaje kuivunja KAR (King African Rifle) na kuunda mara moja JWTZ kwa askari walewale waliotaka kumpindua, labda aulizwe Gen. Sarakikya

Hebu fuatilia mpango huu wa kuajiri vijana na wasio na mawaa (imewekwa na Member wa JF)

Establishment, Composition and Training of Nigeria Police SWAT to Replace the Disbanded SARS
 
Back
Top Bottom