Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

Maandamano yalikuwa ya kupinga ukatili wa polisi ila kwa sasa yanaelekea kuchukua mkondo wa kisiasa.
Na yaeleke huko mkuu mm naunga mkono maana wanasiasa wa Nigeria wame zidi kwa ufisadi.
 
Kuna Mambo Ambayo Watu hua wanayafanya na hayana faida Ila hasara tu.

Mfano Nigeria Wanasema Wanaandamana ili kupinga namna Polisi inavyojiendesha

Tena wanaandamana na kuingia Barabaran bila kuwa na Azimio la nini kifanyike ili waweze kusitisha Maandamano

Mfano nikuulize swali waandamanaj wa Nigeria wanataka Nini kifanyike? Kuna mwenye jibu?
Upupu.Sasa km wewe hutaki kutafuta habari ndio unakuja humu na ujinga wako unajifanya mfikiriaji mkubwa.Wewe wala huhitaji kuambiwa ni wa kuachwa tu.
 
Kwahiyo wanataka Rais atoke? Mbona source ya maandamano Sio Rais ni police
Hujui jambo huwa linazua Jambo.unafikiri hivyo vikosi maalumu vya polisi viliundwa bila idhini ya rais.Na hayo wanayoyafanya polisi rais hayaoni.Ni rais dhaifu,ufisadi uliokithiri.
 
Serikali haina cha kupoteza!!!! Unajua ulichoandika au umetoka usingizini.
 
Kosa kubwa ililolifanya serikali ya Nigeria na serikali nyingi za kiafrika hufanya hayo hayo ni kuwafool wananchi , kuwafanya wananchi watoto kwa kuwaambia wamefuta kikosi cha SARS ili hali kiuhalisia bado kipo mzigoni ni sawa na kusema umemfuta kazi Magufuli badala yake umemuweka Majaliwa hicho ndicho Nigeria ilichokifanya
 
Umetoka usingizini bila shaka. Serikali inatakiwa iondoke halafu haina cha kupoteza.Kweli ujinga ni kipaji.
Nami naungana na mleta thread hii. Pamoja na kuwa sisi hatupo huko Nigeria, lakini tunafuatilia yanayoendekea huko. Bado swali, hao waandamanaji, WANATAKA NINI cha zaidi? Kwa sababu madai yao, yameshughurikiwa.
Ingekuwa enzi zileeee, tayari jeshi lingeshachukua Nchi!
 
Nami naungana na mleta thread hii. Pamoja na kuwa sisi hatupo huko Nigeria, lakini tunafuatilia yanayoendekea huko. Bado swali, hao waandamanaji, WANATAKA NINI cha zaidi? Kwa sababu madai yao, yameshughurikiwa.
Ingekuwa enzi zileeee, tayari jeshi lingeshachukua Nchi!
Yaani mtu mzima unaandika kuwa unafuatilia kinachoendelea halafu bila aibu unasema hujui waandamanaji wanataka nini.Duuuh.
Basi ukiachana na la polisi sasa hivi wanataka:
1.serikali iondoke madarakani kutokana na ufisadi na umaskini uliokithiri.
2.Ukosefu mkubwa wa ajira.
 
Habari ndugu zangu za siku nyingi ,niende moja kwa moja kwenye mada nchini Nigeria kuna machafuko yanaendelea ni nini shida mnaoelewa nawakaribisha mnijuze..

Manake kauli mbiu yao wanasema #endsars hasa sijui wanamaanisha nini ni vizuri tujue awa ndugu zetu wanatatizo gani.
 
Binadamu wenye akili mbovu ni_____
1.mwarabu
2.mwafrika.
Wakimchukia kiongozi,wanachukia na nchi yao,huwajui uongozi unapita lakni nchi itaendelea kuwepo,binadamu hawahawa wakilikoroga hawawezi kulinywa wanaishia kukimbia.wazungu wao kazi yao nikuvijaza pumzi mgogoro ukikolea jamaaa wanaingia kupiga hela angalia Libya,syria,Iraq hakuna kinachoendelea kiufupi wafrika na waarabu Uhuru hatuuwezi.
 
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.

Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.

Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.

Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?

Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
Na nyinyi watawala muache laana ya kuwaona wananchi ni subjects wenu!
 
Binadamu wenye akili mbovu ni_____
1.mwarabu
2.mwafrika.
Wakimchukia kiongozi,wanachukia na nchi yao,huwajui uongozi unapita lakni nchi itaendelea kuwepo,binadamu hawahawa wakilikoroga hawawezi kulinywa wanaishia kukimbia.wazungu wao kazi yao nikuvijaza pumzi mgogoro ukikolea jamaaa wanaingia kupiga hela angalia Libya,syria,Iraq hakuna kinachoendelea kiufupi wafrika na waarabu Uhuru hatuuwezi.
kwahiyo unasemaje? Tutawaliwe kama jiwe anavyoua watu?
 
Back
Top Bottom