Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

...mkishaharibu nchi zenu lawama mnawatupia hao mnaowaita 'watu kutoka nje'.

Ila wanapo waletea misaada na kuwasifia mnawaita wahisani na washirika wa maendeleo.

Na raia wa hili bara sababu ya ukosefu wa elimu,umasikini na hali ngumu ya maisha wanaamini kwa urahisi sana hizi propaganda za watawala wao.
 
Unashindwa jibu mada kwa mada unaanza lalama....kanisemee kwa amstedamu basi...shwain
 
Upuuzi mtupu.
 
Kuna mambo mengine makubwa zaidi ya SARS...
That country is first class in corruption...


cc: mahondaw
 
Broda Nigeria matatizo yake yako kiuchumi zaid. Utawala mbaya wa rushwa uonevu dhuluma nk. So kikawaida watu huwa wanaandamna kwa plan A lakin ikitic wanaweka hapo madai yote ya miaka mingi. Ni kama hapa Tz cku ikitokea wameandamana watu hata kwa kupigwa na polis utasikia watu wanadai katiba mpya nk
 
Wao walitaka watu wa SWAT watoke wapi?

Yani mfano leo ukiivunja FFU unaenda kuwapata wapi watu wa unit mpya ya kuzuia vurugu?
sasa kama watu wale wale wanarudishwa kwenye chombo kipya kuna maana gani kuvunja ya awali ,yaani ile wamevunja halafu wanahamishiwa kwenye kingine watu ni wale wale imebadilika jina huoni tatizo hapo ?
 
sasa kama watu wale wale wanarudishwa kwenye chombo kipya kuna maana gani kuvunja ya awali ,yaani ile wamevunja halafu wanahamishiwa kwenye kingine watu ni wale wale imebadilika jina huoni tatizo hapo ?

huo ni mtizamo tu,unadhani kwa yaliyotokea ni ngumu kiasi gani kwa serikali au polisi kuelewa kwamba dhuruma na uonezi havihitajiki kwenye utendaji wao???

swala la kwamba nani anarudi kazini au nyumbani sio la msingi,msingi ni kusubiri utendaji kama umebadirika.

sasa wameongeza maandamano mpaka wanaharibu mali za uma wao wenyewe[emoji16][emoji16][emoji16],mzungu akisema black ni nyani mnajaa upepo.
 
Kwani wakati Ikulu ya USA inapigwa mawe na waandamanaji ulisikia wazungu wakisema chochote? viongozi dhalimu ndiyo chanzo cha yote haya. Mfano leo maandamano yatokee hapa Tanzania alafu kituo cha TV cha TBC kichomwe moto si watakua wamejitakia? yaani wananchi wanakamuliwa kodi kuwalipa mshahara alafu wanafanya mambo nje ya ueledi wa kazi zao.

Hizo vituo vya umma vya kipuuzi zichomwe tu moto, watayajenga tena.
 

maandamano ni haki ya kila raia duniani kote.

yakiishanza kuhusika mawe,nondo,wizi,uhatibifu.
hayo sio maandamano tena ni kitu kingine,na namna ya kudeal na wahusika inategemea busara ya kiongozi husika(mzungu/muafrika).

kuna kuvunjwa miguu,kupigwa za kichwa,kukamatwa na kufungwa nk.wewe leo hii unachoma kituo cha polisi,au kituo cha basi.unamkomoa nani!!??
 
Ukipiga na wewe unapigwa full stop. Suala la kuchoma jengo ni sehemu mojawapo kua hatupendi uwepo wa hicho jengo kwani wanaishi waovu.
 
Ukipiga na wewe unapigwa full stop. Suala la kuchoma jengo ni sehemu mojawapo kua hatupendi uwepo wa hicho jengo kwani wanaishi waovu.

unajua wanajeshi wanagapi wameuwawa mpaka leo nigeria!!!au ndio kauli za kishujaa tunazoziita!!!

hupendi uwepo wa kituo cha polisi,sawa maana ndio walalamikiwa wakuu.vipi kuhusu kituo cha kupaki mabasi ya BRT???
 
Ukipiga na wewe unapigwa full stop. Suala la kuchoma jengo ni sehemu mojawapo kua hatupendi uwepo wa hicho jengo kwani wanaishi waovu.
Unajua polisi na wanajeshi wangapi wameuwawa
Umeona namna gani vituo vya polisi,sehemu mbalimbali zlivyoharibiwa
Mzee zile vurugu hazijaanzishwa na Wanasiasa au Chama cha siasa,umma watu wenyewe wameanzisha
Bora maandamano ya kivyama kuliko maandamano au vurugu inayoanzishwa na watu
Hatari.....hili syo jambo pia la kuombea litokee

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…