Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Sheria zinaruhusu hayo ambayo wanannchi wanayafanya lakini mtu mmoja kwasababu tu ya ukatili wako unataka uwapige.wananchi kwa ujumla wao hawapendi kodi,hawapendi kunyinwa uhuru kwa kiasi chochote kile.
sasa uhuru wowote usio na kiasi hakuna utawala hapo.
Tubu ndugu kabla hasira ya Mungu haijakushukia.