Ifike mahala SIMBA NA YANGA muhame nyumbani kwa wazazi mkajenge VIWANJA VYENU LOL!!!!

Ifike mahala SIMBA NA YANGA muhame nyumbani kwa wazazi mkajenge VIWANJA VYENU LOL!!!!

Molleli

Senior Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
185
Reaction score
165
Apa Tanzania sijui tuna pepo gani Ivi ni kweli vilabu vikubwa kama simba na yanga wanashindwa kumiliki hata uwanja kama wa Azam jamani hiii mbona ni haibu Sana Watanzania.... Kazi ni kuongea maneno tu mitandaoni!!!!
 
Kuna wakati niliwashauri yanga wanunue maeneo Kiluvyia kwa Sumaye kwa ajili ya kujenga uwanja maana ni rahisi kufikika hata kwa mashabiki wanaotoka mikioni, ajabu wao wakaenda kununua Kigamboni. Simba wao huko Goba walau kunafikika kirahisi.
 
Apa Tanzania sijui tuna pepo gani Ivi ni kweli vilabu vikubwa kama simba na yanga wanashindwa kumiliki hata uwanja kama wa Azam jamani hiii mbona ni haibu Sana Watanzania.... Kazi ni kuongea maneno tu mitandaoni!!!!
Ni kasumba nzito hata uswahilini jitu lina miaka zaidi ya 35 bado linarudi kufunua hotpot nyumbani...! Tena linakua lalamishi kupita maelezo..
 
Apa Tanzania sijui tuna pepo gani Ivi ni kweli vilabu vikubwa kama simba na yanga wanashindwa kumiliki hata uwanja kama wa Azam jamani hiii mbona ni haibu Sana Watanzania.... Kazi ni kuongea maneno tu mitandaoni!!!!
Simba yenyewe sasa
20220623_090116.jpg
 
Back
Top Bottom