Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

Mbona mzungu kapanda baiskeli ya Mr. Nice hamkupiga kelele hivi?
 
Yaani Niko nimekaa palee,huyu mtoto kama halishwi sembe na quovo mtaniambia.Hizi sidhani kama ni Akili zao,yaani unaskiza ngoma unajiskia aibu,na wao Wala hawajali nikutoa tu ngoma
 
Kalee kakigoli kanaandikiwaa, hizo ngoma za sukari, na chapati ndio kaandika yeyee. Hizo nyingine sio zakee

Kichwaa chake hakiwezi andika ngoma yenye mashairi matamu kama " UTANIUA" hii ngoma kila nikisikiliza namwona lava lava na mbosso. Hawezi, nakataaa
 
Hivi hujui Hawa Wasafi ndo wanauwa bongo fleva... Vile Wana influence Basi wanaimba ujinga na una hit..

Ni ujinga mtupu.

Alafu Wana uwezo wa kuwaficha wanaokuja juu zaidi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…