Ifike mahali Serikali ijiheshimishe kuhusu wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Ifike mahali Serikali ijiheshimishe kuhusu wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
hiyo ndio ccm bwana chama cha......
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Fedheha hii ya kujitakia italigharimu sana Taifa letu,tunaoelewa hili jambo tunatamani lingeisha jana ama juzi.Sheria zinavunjwa na hakuna anayewajibika,fedha za serikali zinafujwa bila aibu!
Kweli Tanzania ni nchi tajiri sana.
 
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!.
Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Hii fedheha kwa serikali, bunge
Ni fedheha kivipi?.
na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
 
umeandika point sana. Kikweli kwa hili huwa nikimsikia Tulia na Samia eti waheshimiwa najisikia kichefuchefu tu. Yaani nawaona wa hovyo tu kama wengine wote wanaimbwa kila siku. Najiuliza wanapata wapi ujasiri wa kuwanyooshea vidole wengine
.
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
hiyo serikali ina masikio ya kenge mpaka yaje yapasuke.
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
ndg usijumuishe wananchi wote maana mimi na familia yangu tunaimani kubwa na mihimili hiyo ,ungetumia neno baadhi au wengi.
 
Mauza uza ya waafrika hayawezi kuisha kwasababu hakuna tofauti ya kufikiri na kutenda kati ya mwananchi wa kawaida na kiongozi ,msomi na asiyesoma.Bado tuna safari ndefu sana ili tuishi kama binadamu wanaojitambua.Mambo madogo kama hayo hatuwezi kujisimamia je makubwa ndo tutaweza.Utakuta tunasubiri wazungu waje kutuamulia hatua gani zakuchukua.
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.

Lete fact tuone fedheha Iko wapi

Usiongee kutoka hewani tu
 
Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.

Ni fedheha kivipi?.

Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
Wewe huwa unajinasibu kuwa ni mwanasheria kwa taaluma, halafu eti leo hujui sheria ipi inavunjwa kwa kuwa na wabunge wa "covid 19"!! Kama ni unafiki basi ni wa kiwango cha PhD!!!!
 
Achen wenzenu wale maisha, mbona miaka mingine mlikuwa mnaenda bungeni na matokeo mmeyagomea

Iweje Sasa iwe nongwa kwa wenzenu kwenda bungeni ,kisa nyie mmekosa

Hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,Amin nawaambia Heche,Msigwa,lema wangetinga bungeni
 
Back
Top Bottom