Ifike mahali Serikali ijiheshimishe kuhusu wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Ifike mahali Serikali ijiheshimishe kuhusu wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Ni jambo la kusikitisha na kuudhi kuona chama chenye umri huo wa CHADEMA kushikilia jambo dogo kama hili la wabunge 19, na kwa sasa hii ni ajenda binafsi ya baadhi ya wana BAWACHA waliokosa nafasi hizi, hii si ajenda ya wananchi wala hata ya chama kabisa..Chama makini lazima kibebe ajenda za wananchi kama kinataka support ya wananchi..kiuhalisia aliyetakiwa kujadiliwa na kuvuliwa uanachama kwanza kabla ya hawa 19 ni yule mbunge mmoja aliyeshinda ubunge Rukwa akakaidi msimamo wa chama chake wa kutotambua matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020 akaenda bungeni kuapa, huyo ndiye walipaswa waanze nae kabla hata ya hawa 19...lakn miongon mwa hao 19 yumo Nusrat aliyekuwa mahabusu kwa muda mrefu, ni BAWACHA wangapi wamewahi kupitia madhila aliyopitia Nusrat? Licha ya hivyo wengi wa hao 19 wana mchango mkubwa sana kwa chama pengine kupita wote ndani ya BAWACHA..ni muhim sana kwa vyama vya upinzani kuonyesha uvumilivu, umakini na ukomavu ndani ya vyama vyao ili wajenge kuaminiwa na wananchi!
CHADEMA wana historia ya kuwa na mabishano ya mara kwa mara kwa nafasi za ubunge viti maalum, kila mmoja anataka apewe nafasi..lkn kibinadamu ni vzr kujifunza kuridhika na kukubali na kupokea mazuri na mabaya, then songa mbele, kama hukupata this time, next time utapata..kuliko kung'ang'ania jambo moja siku zote wakati yapo mambo mengi ya kufanya.
Ushauri mzuri kwa CHADEMA waachane na hii habari ya wabunge 19 BAWACHA waliokosa wasubiri 2025 vinginevyo itakigharimu chama Chao pakubwa sana 2025! Kupanga ni kuchagua..asante.
Upumbavu tu unakusumbua,mbona Lipumba aliposema hawatambui wabunge wake amri ilitekelezwa mara moja au kwa vile walikuwa ni UKAWA?
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Let's give them time 2025 is not far
 
Ni Rais kupitia DPP mbona ipo wazi ,
Kwamba Rais kupitia DPP aliamuru Mbowe aswekwe ndani kwa kesi ya UGAIDI na Rais huyo huyo kupitia DPP yule yule akaona ni vema kumwachia Mbowe,na siku akipenda atamweka ndani kupitia DPP yule yule kwa sheria na ushahidi wa kughushi ili mradi tu Mbowe akubali kuwa ccm hapo ndipo rais ataacha kutumia sheria chafu na ushahidi wa kughushi kwa vile Mbowe atakuwa ameunga juhudi.
 
Upumbavu tu unakusumbua,mbona Lipumba aliposema hawatambui wabunge wake amri ilitekelezwa mara moja au kwa vile walikuwa ni UKAWA?
Nini kinakufanya kutukana? Acha kuishi kwa kukariri mambo ya ukawa 2015 unayaletaje 2020 wala huhitaji kuweka reference hiyo ya ukawa hili ni suala la uelewa, si mambo yote lazima yafanane kila yanapotokea.
 
Kwamba Rais kupitia DPP aliamuru Mbowe aswekwe ndani kwa kesi ya UGAIDI na Rais huyo huyo kupitia DPP yule yule akaona ni vema kumwachia Mbowe,na siku akipenda atamweka ndani kupitia DPP yule yule kwa sheria na ushahidi wa kughushi ili mradi tu Mbowe akubali kuwa ccm hapo ndipo rais ataacha kutumia sheria chafu na ushahidi wa kughushi kwa vile Mbowe atakuwa ameunga juhudi.
Ndivyo ilivyo, ndio maana mbowe alipoachiwa hata hakwenda kuoga Wala kukata nywele, breki ya kwanza usiku usiku kwa Mama kumshukuru
 
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.

Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!

Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Neno mbuge linatoa tafrisi kubwa sana hasa ya kisiasa na kidiplosia ..

mbuge: ni mtu anae wakilisha wanachi katika serikali.


Maana halisi ya mbunge pia ni mjumbe ama mtumishi wa wananchi katika sehemu husika..

Mtumishi huyu anaeweza kuteuliwa ama kuchaguliwa kutokana na fingu vya katikaba ama ilani au kanuni au sheria za chama chake..au nchi yake..
Linapukaja swala kama hili lazima tuuchungunguze pande zote mbili.

hapa mahakama iangalie haki za kimsingi kwa kufuata kanuni na sheria za ilani ya hao wabunge kupitia vyama vyao ambavyo haviwatambui.. na si kufuata kanuni za katiba
 
Nauliza ni mbunge gani wa chadema aliwahi kwenda bungeni kwa fadhila za rais au spika??
Miaka yote Upinzan huwa wanapewa favor ya vit vya ubunge, ikitokea CCM wamekasirika ndio kinatokea Kama Cha 2020,

Hata yule Aida kenan mbunge wa nkasi Chadema ,Ni huruma ya CCM,

CCM wakiamua Upinzan hawapati hata kiti kimoja ,
 
Miaka yote Upinzan huwa wanapewa favor ya vit vya ubunge, ikitokea CCM wamekasirika ndio kinatokea Kama Cha 2020,

Hata yule Aida kenan mbunge wa nkasi Chadema ,Ni huruma ya CCM,

CCM wakiamua Upinzan hawapati hata kiti kimoja ,
Ukilala unaota ukiamka unaota hongera sana.
 
Ni jambo la kusikitisha na kuudhi kuona chama chenye umri huo wa CHADEMA kushikilia jambo dogo kama hili la wabunge 19, na kwa sasa hii ni ajenda binafsi ya baadhi ya wana BAWACHA waliokosa nafasi hizi, hii si ajenda ya wananchi wala hata ya chama kabisa..Chama makini lazima kibebe ajenda za wananchi kama kinataka support ya wananchi..kiuhalisia aliyetakiwa kujadiliwa na kuvuliwa uanachama kwanza kabla ya hawa 19 ni yule mbunge mmoja aliyeshinda ubunge Rukwa akakaidi msimamo wa chama chake wa kutotambua matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020 akaenda bungeni kuapa, huyo ndiye walipaswa waanze nae kabla hata ya hawa 19...lakn miongon mwa hao 19 yumo Nusrat aliyekuwa mahabusu kwa muda mrefu, ni BAWACHA wangapi wamewahi kupitia madhila aliyopitia Nusrat? Licha ya hivyo wengi wa hao 19 wana mchango mkubwa sana kwa chama pengine kupita wote ndani ya BAWACHA..ni muhim sana kwa vyama vya upinzani kuonyesha uvumilivu, umakini na ukomavu ndani ya vyama vyao ili wajenge kuaminiwa na wananchi!
CHADEMA wana historia ya kuwa na mabishano ya mara kwa mara kwa nafasi za ubunge viti maalum, kila mmoja anataka apewe nafasi..lkn kibinadamu ni vzr kujifunza kuridhika na kukubali kupokea mazuri na mabaya, then songa mbele, kama hukupata this time, next time utapata..kuliko kung'ang'ania jambo moja siku zote wakati yapo mambo mengi ya kufanya.
Ushauri mzuri kwa CHADEMA waachane na hii habari ya wabunge 19 BAWACHA waliokosa wasubiri 2025 vinginevyo itakigharimu chama Chao pakubwa sana 2025! Kupanga ni kuchagua..asante.
Huu ndio unaitwa ujinga
 
Kwamba Rais kupitia DPP aliamuru Mbowe aswekwe ndani kwa kesi ya UGAIDI na Rais huyo huyo kupitia DPP yule yule akaona ni vema kumwachia Mbowe,na siku akipenda atamweka ndani kupitia DPP yule yule kwa sheria na ushahidi wa kughushi ili mradi tu Mbowe akubali kuwa ccm hapo ndipo rais ataacha kutumia sheria chafu na ushahidi wa kughushi kwa vile Mbowe atakuwa ameunga juhudi.
Sasa Rais wa hivyo hata yakimkuta ya Gaddafi au Sadam kuna haja ya kumsikitikia?
Ukiwa kiongozi sio kuwa unaruhusa na kuchezea maisha ya wengine upendavyo. Cheo hicho ni dhamana kubwa sana
 
Back
Top Bottom