hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Ni hisani, aliwekwa mule korokoron kwa muda tu, Kama sabaya tukwani Mbowe aliachiwa kwa hisani? washauri wamrudishe basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hisani, aliwekwa mule korokoron kwa muda tu, Kama sabaya tukwani Mbowe aliachiwa kwa hisani? washauri wamrudishe basi
Hamna anachojua kuhusu sheria huyo, ni ushabiki tuu wa vyama.Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
Nenge,njaa and appointment.Wewe huwa unajinasibu kuwa ni mwanasheria kwa taaluma, halafu eti leo hujui sheria ipi inavunjwa kwa kuwa na wabunge wa "covid 19"!! Kama ni unafiki basi ni wa kiwango cha PhD!!!!
Kabisa mkuu. Kuna zezeta moja lilisema ningefanya maamuzi Ila lipo mahakamani. Utafikili waliteuliwa na kwenda mahakamani siku hiyohiyo.Jambo dogo la kuangalia Sheria tu kwenye makalatasi Majitu yanakuwa majinga yanashindwa. Ndiyo uyaambie kuhusu madini ambaya yapo chini ya ardhi na hayaonekani yataweza?. Mazezeta nchi hii yapo kibao uongozini.Mauza uza ya waafrika hayawezi kuisha kwasababu hakuna tofauti ya kufikiri na kutenda kati ya mwananchi wa kawaida na kiongozi ,msomi na asiyesoma.Bado tuna safari ndefu sana ili tuishi kama binadamu wanaojitambua.Mambo madogo kama hayo hatuwezi kujisimamia je makubwa ndo tutaweza.Utakuta tunasubiri wazungu waje kutuamulia hatua gani zakuchukua.
Na chama cha siasa ambacho hakiheshimu sheria na katiba inayoendesha nchi ni chama cha kipumbavu kabisa kidichofaa kupewa ridhaa ya kuongoza.Hao wamepelekwa na CCM ni ngumu kuwatoa hapo mkuu
Walishasema wao wanalindwa na dola wala hawahitaji kura yakoNa chama cha siasa ambacho hakiheshimu sheria na katiba inayoendesha nchi ni chama cha kipumbavu kabisa kidichofaa kupewa ridhaa ya kuongoza.
Ni aibu kubwa kwa CCM kujipambanua kuwa wako hivyo.
Unajua msomi akitoa swali la kipuuzi au hoja ya kijinga anakasirisha sana kuliko swali hilo au hoja hiyo ikitoka kwa mjinga.Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
Mwanzo nilikuwa overated tuu, ila akili zangu sasa ndio hizi.Unajua msomi akitoa swali la kipuuzi au hoja ya kijinga anakasirisha sana kuliko swali hilo au hoja hiyo ikitoka kwa mjinga.
Pasco, umepatwa na nini? Ingekuwa enzi za msukuma mwenzako ambazo watu walilazimishwa kuweka akili kabatini tungekuelewa lakini sasa hivi wenye akili hata kidogo wananafasi ya kuzionyesha!
Ilishabariki kitambo kwa vile tu Ilani ya kile chama cha kijani inatawala Tanzania.Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Wengine hawa hapa .Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
Pascal MayallaNi vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
Aliachiwa kwa sheria ipi?Mbona mbowe alipoachiwa mlishangilia ?
Acha upumbavu,ni mbunge gani wa Chadema aliwahi kwenda Bungeni kwa fadhil;a za rais na spika?Achen wenzenu wale maisha, mbona miaka mingine mlikuwa mnaenda bungeni na matokeo mmeyagomea
Iweje Sasa iwe nongwa kwa wenzenu kwenda bungeni ,kisa nyie mmekosa
Hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,Amin nawaambia Heche,Msigwa,lema wangetinga bungeni
Kwahiyo miaka yote mlikuwa mnagomeaga matokeo ya chaguz Zipi?Acha upumbavu,ni mbunge gani wa Chadema aliwahi kwenda Bungeni kwa fadhil;a za rais na spika?
Ya DPP kupigiwa simu na Rais usiku ,Aliachiwa kwa sheria ipi?
Naona kama hawajali kufedheheka ki vile!!Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Nauliza ni mbunge gani wa chadema aliwahi kwenda bungeni kwa fadhila za rais au spika??Kwahiyo miaka yote mlikuwa mnagomeaga matokeo ya chaguz Zipi?
Ni jambo la kusikitisha na kuudhi kuona chama chenye umri huo wa CHADEMA kushikilia jambo dogo kama hili la wabunge 19, na kwa sasa hii ni ajenda binafsi ya baadhi ya wana BAWACHA waliokosa nafasi hizi, hii si ajenda ya wananchi wala hata ya chama kabisa..Chama makini lazima kibebe ajenda za wananchi kama kinataka support ya wananchi..kiuhalisia aliyetakiwa kujadiliwa na kuvuliwa uanachama kwanza kabla ya hawa 19 ni yule mbunge mmoja aliyeshinda ubunge Rukwa akakaidi msimamo wa chama chake wa kutotambua matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020 akaenda bungeni kuapa, huyo ndiye walipaswa waanze nae kabla hata ya hawa 19...lakn miongon mwa hao 19 yumo Nusrat aliyekuwa mahabusu kwa muda mrefu, ni BAWACHA wangapi wamewahi kupitia madhila aliyopitia Nusrat? Licha ya hivyo wengi wa hao 19 wana mchango mkubwa sana kwa chama pengine kupita wote ndani ya BAWACHA..ni muhim sana kwa vyama vya upinzani kuonyesha uvumilivu, umakini na ukomavu ndani ya vyama vyao ili wajenge kuaminiwa na wananchi!Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Kwa hiyo ni rais alimwachia na siyo sheria wala ushahidi wowote.Ya DPP kupigiwa simu na Rais usiku ,
Kweli jambo hili linaonesha jinsi serikali yetu isivyoaminika.Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.