mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kama ni hivyo wawetayari pia kuibeba hiyo fedhehaHao wamepelekwa na CCM ni ngumu kuwatoa hapo mkuu
CCM hawana aibuKama ni hivyo wawetayari pia kuibeba hiyo fedheha
hiyo ndio ccm bwana chama cha......Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Fedheha hii ya kujitakia italigharimu sana Taifa letu,tunaoelewa hili jambo tunatamani lingeisha jana ama juzi.Sheria zinavunjwa na hakuna anayewajibika,fedha za serikali zinafujwa bila aibu!Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!.
Ni fedheha kivipi?.Hii fedheha kwa serikali, bunge
Kwanini tusiisubiri mahakama?.na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
.umeandika point sana. Kikweli kwa hili huwa nikimsikia Tulia na Samia eti waheshimiwa najisikia kichefuchefu tu. Yaani nawaona wa hovyo tu kama wengine wote wanaimbwa kila siku. Najiuliza wanapata wapi ujasiri wa kuwanyooshea vidole wengine
hiyo serikali ina masikio ya kenge mpaka yaje yapasuke.Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
ndg usijumuishe wananchi wote maana mimi na familia yangu tunaimani kubwa na mihimili hiyo ,ungetumia neno baadhi au wengi.Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Kila mmoja anajua figisu figisu kuhusiana na wabunge hawa 19 almaarufu kama wabunge wa covid 19.
Ni fedheha sana kuona jinsi sheria na kanuni zikipindishwa ili tu kuoneshana ubabe juu ya jambo ambalo liko wazi!
Hii fedheha kwa serikali, bunge na inaelekea pia mahakama huenda ikashiriki kubariki fedheha hii (maana tayari suala hili limeshatinga mahakamani) na kukosesha heshima na imani ya wananchi juu ya mihimili hii mitatu. Yetu macho.
Mbona mbowe alipoachiwa mlishangilia ?Kwa sababu mara nyingi maamuzi yao ya kesi za kisiasa yana ukakasi mkubwa
Wewe huwa unajinasibu kuwa ni mwanasheria kwa taaluma, halafu eti leo hujui sheria ipi inavunjwa kwa kuwa na wabunge wa "covid 19"!! Kama ni unafiki basi ni wa kiwango cha PhD!!!!Ni vema ukitusaidia kutuelimisha ni sheria sheria taratibu na kanuni gani zilizo pindishwa kibabe.
Ni fedheha kivipi?.
Kwanini tusiisubiri mahakama?.
P
kwani Mbowe aliachiwa kwa hisani? washauri wamrudishe basiMbona mbowe alipoachiwa mlishangilia ?