Camcorowamodo
Senior Member
- Sep 12, 2024
- 160
- 150
Mbowe anapanga kuiba kura tu na kutoa rushwa, Huyu Mzee hakubaliki kabisa
Kweli tupuWataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"
Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,
HOJA YANGU,
1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?
2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?
3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?
4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?
5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?
NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Lissu ni Mropokaji na wafuasi wake ni waropokaji. Mbowe anawajua wapiga kura sio wa mitandaoni. Anajua namna ya kuwafikia na kuwaomba kura bila kupiga kelele!Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"
Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,
HOJA YANGU,
1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?
2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?
3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?
4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?
5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?
NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Mumebiwa kila kitu kitakuwa live huo wizi ataiba wapi wa kura ?Mbowe anapanga kuiba kura tu na kutoa rushwa, Huyu Mzee hakubaliki kabisa
Mbowe amepata kura nyingi ni 300Kweli tupu
Hata 200 hazitafikaMbowe amepata kura nyingi ni 300
Alafu wapambe nuksi wapo mdanganya, yani wajumbe kutoka mikoa , majimbo wapo na lissu, yeye kura atatoa wapiHata 200 hazitafika
wapi hiyo? Muachage kujidangamyaMikoa mingapi imesema?
Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.
Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
We jamaa mpumbavu sana, rudisha pesa ya FAM, vinginevyo mtazitapikaHizo ni dalili na ishara kuwa Kijitu chenu kilisu kimeshashindwa tayar!!
unamuita muhuni wakati anaongoza hata kabla ya uchaguzi! Una wazimuMitandao inamzika rasmi mhuni wa ubelgiji.
Timu ya Lissu ipo Makini Sana. Wajichanganye wagawane mbaombowe lazima atashinda.
yule atasaidiwa na wale waliomtuma agombee, tayari watu wao Mawakala wengi Sana wameshapenyezwa ndani ya chadema. lisu awe makini, hataamini macho yake asipokuwa mwangalifu.
mvua inanyesha halafu unasema ni manyunyu! Ushaambiwa by influence na numbers lissu anaongozaWe danganyika na hawa mashabiki wa Twitter na JF hamna mpiga kura hata mmoja
Wapiga kura wa Bawacha hawazidi 40, na huko bawacha lissu ndo kapata wapiga kura wengi kumshinda mbowe, kwa mujibu wa uchaguzi uliomalizika janaMbowe ana mademu wengi BAWACHA, kura zake anazitegemea huko
Kuna vurugu zimeandaliwa na Mbowe halafu atamwagia lawama LisuMbowe anapanga kuiba kura tu na kutoa rushwa, Huyu Mzee hakubaliki kabisa