Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani CCM huwa inatoa wapi kura?Alafu wapambe nuksi wapo mdanganya, yani wajumbe kutoka mikoa , majimbo wapo na lissu, yeye kura atatoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CCM huwa inatoa wapi kura?Alafu wapambe nuksi wapo mdanganya, yani wajumbe kutoka mikoa , majimbo wapo na lissu, yeye kura atatoa wapi
Endelea kuota.Mbowe ni tapeli na ndiyo maana alivyotoka tu gerezani akatengeneza namba yake ya kupokelea michango ya JOIN THE CHAIN tofauti na ile iliyokuwepo.Mitandao inamzika rasmi mhuni wa ubelgiji.
Ajue siasa akataliwe na wanachama walio wengi?Kwa taarifa Yako tu ni kwamba lissu ni mshamba mnoooo kwa mbowe. Umeona mbowe anapata shida kama huyo artificial chiba wenu?!! Hamjui siasa, nyie subirini kukasirika, kufanya fujo na kuhama Chama.
Eti kete yake ni kugawa rushwa.Kijana, Jabari Mbowe hajaanza siasa jana kama hao .jamaa zako kila kukicha ni kubwabwaja as if matamko ndiyo idadi ya kura.
Fedha zake zitaliwa na asipo angalia uchaguzi huu unaweza kumfilisi kwa sababu mbowe hana biashara za kutisha ila fedha nyingi snazo linga ni fedha anazopewa na watu mbali mbali aidha asidie chama au akiuwe chama, msikubali msimu huu kusema amekikopesha chama mabilioni kama siku zote anavyo tumia janja janja kubambikia chama madeni hewa kama kakopa kokote hayo ni madeni yake binafsi mwisho wa ubaya ni aibuMbowe anapanga kuiba kura tu na kutoa rushwa, Huyu Mzee hakubaliki kabisa
Lissu ana akili, lkn busara na maono kakosa Huku akiwa mshamba.Ajue siasa akataliwe na wanachama walio wengi?
Anadhani rushwa zitamfanya akubalike?
Hawezi kupigana na Wakati akashinda, nyie kuleni pesa za Abdul tu
Hii mitandao inawaponza…. Tarehe 21 mtapona kichaa!!unamuita muhuni wakati anaongoza hata kabla ya uchaguzi! Una wazimu
Huu uchaguzi umefanya tuwajue wajinga wengi!! Halafu Lissu alivyokosa hekima anasema kabisa kagombea uenyekiti sababu wenje kaitaka nafasi yake!! Hapo katangaza shari na sikuwahi jua ana akili Za kitoto namna hii!!!Lissu ana akili, lkn busara na maono kakosa Huku akiwa mshamba.
Mbowe ana akili, ana busara na ni mjanja.
Mashabiki wa lissu, km wewe, mmekosa vyote. Mmebarikiwa vidole tu vya kutyp humu basi
Mbona kelele nyingi? Kama Mbowe haungwi mkono si tutaona Jumanne? Naona mmeanza kuandaa mazingira ya kusema ameiba kura.Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"
Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,
HOJA YANGU,
1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?
2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?
3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?
4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?
5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?
NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Acha kuchachawa...hakuna rushwa bwa mdogo, hivi kwa akili zako Lissu anaweza kupambana na Jabari la Siasa nchini.Eti kete yake ni kugawa rushwa.
Hivi akishinda atamwongoza nani kama wanachama walio wengi wamemkataa?
Yeye na wapambe wake watayapata matokeo wakati wa uchaguzi mkuu. Hatuwezi kujishughulisha na saccos ya mtu tena.
WanaibaKwani CCM huwa inatoa wapi kura?
Ndiyo kinaenda kutokeaWanaiba
dodoma yawa mkoa wa kumi kumuunga mkono lissuHii mitandao inawaponza…. Tarehe 21 mtapona kichaa!!
Mbowe akishinda najiunga rasmi ChademaMbowe akishinda naifuta Chadema moyoni mwangu