Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwanza hii stori imekuwaje imeletwa leo, 3yrs later?Na wewe umekubali hadaa kuwa Jiwe alifariki tarehe 17??
Kwa uchu wa madaraka uliopo Africa kiongozi hawezi kufariki ikatangazwa siku hiyo hiyo
Kama ulivyosikia kulikuwepo na timu pinzani miongoni mwa wanakijani ambao kila mtu alikuwa na pendekezo lake nani akwae urais ni uthibitisho tosha wewe ndio uliziona ni hadaa ila ndio ulikuwa ukweli wa mambo.
Pole sana sukumagang.
Any form of intention?