Ifike wakati Simba na YANGA zisifanywe kama vitega uchumi vya chama cha Mpira na BODI yake ya li..mbona mechi na pamba amkuhairisha huo n ujingaaaa!!!

Ifike wakati Simba na YANGA zisifanywe kama vitega uchumi vya chama cha Mpira na BODI yake ya li..mbona mechi na pamba amkuhairisha huo n ujingaaaa!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Shida iliopo n upigaji
WIZI
Na utapeli
Nakuheshimu kama tff na BODI YENU
Ila siwaogopi

Ogopa DHAMBI ya kuwaogopa watu
Kuwaogops wanadamu n kuleta LAANA maishani mwako

HAya mambo yafike wakati yafike fiffa na caf tupate uhalisia WA matumizi ya kanuni na sheria za tff

Haiwezekani wewe UNAWEKA sheria alafu mpumbavu MMOJA anagoma kucheza pambavuu unaona utakosa mapato unahaoridha mechiii huoo n ujinga na upumbavuuu

Sheria Iko wazi unaxuia mazoezi

Adhabu yake nn ipi

Unakosa KWENDA uwanjani adhabu yake n ipi

Hawa washenzi kabla HATA BODI aijakaa kikaooo wanapoelekea malalamiko wanatoaa na hukumu hawaendi uwanjan

Halafunwajinga kadhaa wanaitishana kikaoo saa NNE pambafuu wanakaa kutoa MAAMUZI ya kijinga kisa watakosa pesa walixotarajia

Huu n ushenzi...YANGA hizi TAARIFA tupeleke caf na fiffa lazima sheria ziamuliwe

MSIENDELEE kudili na wahuni wanasubiria kula na kupiga pesa mechi za YANGA na Simba tu huu n ujinga

Mechi na pamba mbona Walitoa adhabu na wakatozwa na faini???

Simba na SINGIDA..Simba WALIZUIA SINGIDA KUFANYA warm up hujasikia Hawa wahuni wakiadhibu viongozi WA simbaa huuu n ushenzi

MMOJA Wana BODI n nduguyanguu nimemwambiaaa

MAAMUZI yatawatokeaa puani subiria kinachofwataaaaaaaa

Kila la kheri na upumbavuuu wenu na soka LENU la kijinga
 
Back
Top Bottom