Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

Be calm

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
3,766
Reaction score
8,959
Siyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa. Sawa upo nae lakini kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake. Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi, mawazo yake binafsi na huwezi kutaka kilakitu chake ukijue. Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli).

Sasa ndugu, dk 2 nyingi mara video call, simu muda wote, mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee, tena bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo (nimesema kidogo kwa sababu tuna majukumu pia hivyo isiwe too much) lakini si mwanaume. Waweza dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.

Haya sasa msije sema sijawaambia.
 
Siyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa.Sawa upo nae lakini Kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake.Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi,mawazo yake binafsi na huwez kutaka kilakitu chake ukijue...Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli)

Sasa ndugu,dk 2 nyingi...mara video call...simu muda wote....mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee,tena Bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo(nimesema kidogo Kwa sababu tuna majukumu pia ivo isiwe too much) lakini si mwanaume...waweza Dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.

Haya sasa msije sema sijawaambia
Wewe ni mwanamke au mwanaume ?
 
Hii ya kutumiana text kila mda ndio inakera. Sometimes unaona bora upotezee usijibu uendelee na mishe zako. Usipojibu kwa wakati unaulizwa "Au uko bize unachat na wadada wengine!"... Mtu kila wakati anawaza " negatives" tu arrgh!!!
 
Back
Top Bottom