Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinsia yako ni "mh!" ?
Vibaya aje mkuu? Au ndio inakua ntolee? [emoji23]Kupeana muda kunaimarisha uhusiano, unammisi mtu lakini kuna wengine wakipewa muda wanautumia vibaya.
Wewe unawaza sana watu kufuatilia maisha yako ?Ndo hiyo kufuatiliana mkuu
EneliahSiyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa.Sawa upo nae lakini Kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake.Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi,mawazo yake binafsi na huwez kutaka kilakitu chake ukijue...Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli)
Sasa ndugu,dk 2 nyingi...mara video call...simu muda wote....mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee,tena Bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo(nimesema kidogo Kwa sababu tuna majukumu pia ivo isiwe too much) lakini si mwanaume...waweza Dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.
Haya sasa msije sema sijawaambia
Nikishahakikisha nimekutia Mimba nakaa pembeni nakuangalia usoni haya kiko wapi?Siyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa.Sawa upo nae lakini Kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake.Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi,mawazo yake binafsi na huwez kutaka kilakitu chake ukijue...Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli)
Sasa ndugu,dk 2 nyingi...mara video call...simu muda wote....mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee,tena Bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo(nimesema kidogo Kwa sababu tuna majukumu pia ivo isiwe too much) lakini si mwanaume...waweza Dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.
Haya sasa msije sema sijawaambia
Ishi maisha yako acha kujali kuhusu watu wanawaza nini kuhusu wewe.Hapana mkuu
Ukinichunga sana unanipotezaSiyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa.Sawa upo nae lakini Kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake.Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi,mawazo yake binafsi na huwez kutaka kilakitu chake ukijue...Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli)
Sasa ndugu,dk 2 nyingi...mara video call...simu muda wote....mara hujibu sms Kwa wakati😳 nyiee,tena Bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo(nimesema kidogo Kwa sababu tuna majukumu pia ivo isiwe too much) lakini si mwanaume...waweza Dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.
Haya sasa msije sema sijawaambia
Unampa mtu muda nayeye anautoa kwa mwingine 😂Vibaya aje mkuu? Au ndio inakua ntolee? [emoji23]
[emoji28][emoji28]Unampa mtu muda nayeye anautoa kwa mwingine [emoji23]
Mtu sahihi atakuja na utamjua huitaji nguvu kumjuaBado majirani watakufuatilia na watajua Kwa hujaoa ivo Bora uwe na mwenza tu
Wa mfumo dume 😅Wa kufanyaje?
Ni hatari[emoji28][emoji28]