Ifikie hatua Yanga iheshimiwe kama ndio klabu bora ya soka afrika mashariki na kati

Ifikie hatua Yanga iheshimiwe kama ndio klabu bora ya soka afrika mashariki na kati

Morning Glory1

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2019
Posts
237
Reaction score
381
Ukiiona yanga inacheza hata kama wewe sio mpenzi wa yanga na pengine labda bado unasumbulia na ule ushabiki maandazi lakini hata kimoyomoyo utakubali kua yanga ndio timu inayocheza kandanda la kuvutia..pira la kitabuni...pira la kideoni...yani zike pattern za soka unaziona na hata zile B tatu ya soka zinakua zimetulia mahali pake(Ball Control,Ball Balance,Ball Brain) kusema kweli unaenjoyi

Yanga wakiamua kulitafuta goli unawaona kabisa wanaume jinsi wanavyokuja kwa mifuko inayoeleweka kwa watu wanaolijua boli achana na zile papatupapatu za timu mbovumbovu.Ukijaa kwenye mfumo unakula goli zako tano(5)..sita(6) safi yaani clear goals unaondoka uwanjani umeridhika na dozi..hakuna magoli ya mchongo wala penenga za mchongo kama zile wanazopewa timu nyingine mbovumbovu na waamuzi wao wa bahasha

Hili halipingiki Yanga ndo mabingwa wa nchi na tarehe8 ndani ya dimba la benjamini mkapa inakwenda kutangaza rasmi ubingwa wake wa mara31 wa msimu wa 2024/2025.

MYTAKE:
Utake Yanga bingwa!!
Usitake Yanga bingwa!!

1.Diarra 2.Israel 3.Boka 4.Job 5.Baka 6.Aucho 7.Mzize 8.Duke 9.Dube 10.Ki Aziz 11.Pacome
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.7 KB · Views: 1
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
Umesema vizuri lakini inakuja misukule ya Rage itakumwagia mapovu mpaka ushindwe kukauka..
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Vijana hao jeuri na wenye kujiamini ni Yanga
 
Ukiwaona wanacheza na GSM family unaweza kudhani wako serious...Waambie wamfunge mwarabu goli 1 Tu waokote zaidi ya 2B wanahangaika hata dakika180..Mechi zinazowahitaji wawe serious hawawezi kuwa serious naechi nazo hazihitaji wawe serious utawakuta migongo imeekommaa
 
Utopolo comedy Sana yaani gemu zenye pesa kama Ile ya MC ALGERS Walikuwa wanaruka ruka Tu Ila vichaka vya warundi wao huchutama popote ilimladi pupuu itoke
 
Ukiiona yanga inacheza hata kama wewe sio mpenzi wa yanga na pengine labda bado unasumbulia na ule ushabiki maandazi lakini hata kimoyomoyo utakubali kua yanga ndio timu inayocheza kandanda la kuvutia..pira la kitabuni...pira la kideoni...yani zike pattern za soka unaziona na hata zile B tatu ya soka zinakua zimetulia mahali pake(Ball Control,Ball Balance,Ball Brain) kusema kweli unaenjoyi

Yanga wakiamua kulitafuta goli unawaona kabisa wanaume jinsi wanavyokuja kwa mifuko inayoeleweka kwa watu wanaolijua boli achana na zile papatupapatu za timu mbovumbovu.Ukijaa kwenye mfumo unakula goli zako tano(5)..sita(6) safi yaani clear goals unaondoka uwanjani umeridhika na dozi..hakuna magoli ya mchongo wala penenga za mchongo kama zile wanazopewa timu nyingine mbovumbovu na waamuzi wao wa bahasha

Hili halipingiki Yanga ndo mabingwa wa nchi na tarehe8 ndani ya dimba la benjamini mkapa inakwenda kutangaza rasmi ubingwa wake wa mara31 wa msimu wa 2024/2025.

MYTAKE:
Utake Yanga bingwa!!
Usitake Yanga bingwa!!

1.Diarra 2.Israel 3.Boka 4.Job 5.Baka 6.Aucho 7.Mzize 8.Duke 9.Dube 10.Ki Aziz 11.Pacome
Nenda caf kaangalie club Bora Africa mashariki hao ndio wenye mpira usitumie akili zako za kuvukia barabara wenye mamlaka ya mpira wanayo orodha ya vilabu bora Africa viko wazi ,kaangalie Africa mashariki nani Bora urudi utuambie
 
Ukiiona yanga inacheza hata kama wewe sio mpenzi wa yanga na pengine labda bado unasumbulia na ule ushabiki maandazi lakini hata kimoyomoyo utakubali kua yanga ndio timu inayocheza kandanda la kuvutia..pira la kitabuni...pira la kideoni...yani zike pattern za soka unaziona na hata zile B tatu ya soka zinakua zimetulia mahali pake(Ball Control,Ball Balance,Ball Brain) kusema kweli unaenjoyi

Yanga wakiamua kulitafuta goli unawaona kabisa wanaume jinsi wanavyokuja kwa mifuko inayoeleweka kwa watu wanaolijua boli achana na zile papatupapatu za timu mbovumbovu.Ukijaa kwenye mfumo unakula goli zako tano(5)..sita(6) safi yaani clear goals unaondoka uwanjani umeridhika na dozi..hakuna magoli ya mchongo wala penenga za mchongo kama zile wanazopewa timu nyingine mbovumbovu na waamuzi wao wa bahasha

Hili halipingiki Yanga ndo mabingwa wa nchi na tarehe8 ndani ya dimba la benjamini mkapa inakwenda kutangaza rasmi ubingwa wake wa mara31 wa msimu wa 2024/2025.

MYTAKE:
Utake Yanga bingwa!!
Usitake Yanga bingwa!!

1.Diarra 2.Israel 3.Boka 4.Job 5.Baka 6.Aucho 7.Mzize 8.Duke 9.Dube 10.Ki Aziz 11.Pacome
Afrika mashariki na kati. Kuna team bora zinafanya vizuri, imeshindana nazo na ikazishinda zote?
 
Hapa anaiyongelea simba,ambayo ndio club no.6 kwa ubora afrika ..hizi zingine sijui yanga ni takataka mavi ya chooni.
 
Ukiwaona wanacheza na GSM family unaweza kudhani wako serious...Waambie wamfunge mwarabu goli 1 Tu waokote zaidi ya 2B wanahangaika hata dakika180..Mechi zinazowahitaji wawe serious hawawezi kuwa serious naechi nazo hazihitaji wawe serious utawakuta migongo imeekommaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom