IFM wana matatizo gani? Wanafunzi watatu wa kiume wamejirekodi picha mbaya!

Wewe unashangaa IMF je yaliyopo CCM unayajua ? Ccm ndiyo choo cha shetani kabisa machoko yote mauza unga pusha majangiri nk wote wapo humo
 
Na cha ajabu hamtaamini utashangaa wanaitwa kwenye radio wanahojiwa wanacheka yani watapewa airtime hao mtashangaa kisha blog uchwara za yuu tubu zitawahoji kiukweli hili janga nchini kwetu na miongoni mwa vitisho vya kiusalama ushoga umo kabisa inafikia hatua mwenyewe unaingia zako fesibuku kuangalia mambo yako jibaba limeshiba linakujia inbox "naomba ukani*ire"laaana khum
 
Watu ni wanafiq sana...Sasa kuangalia porn za straight sio laana,Ndo wale wale wanapinga ushoga na bado wanakula tigo za wake zao....Huo nao ni ushoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Licha ya kuwa mimi ni muangalia porno maarufu lakin Katika kitu ambacho sijawahi kufanya wala kuwa na ujasiri nacho ni kuangalia video za mwanaume anamkunja mwanaume mwenzake hiyo ni laana mbaya sana.
Me mwenyewe siwezi kucheki mitoto ya kiume inanyanduana
 
Ukianzisha huo uzi usiache kunitag
 
Dah, nliziona hizo video kupitia simu ya mtu. Ni mambo ya aibu kwa kweli. Mungu atuhurumie tu .
 
Hata kusoma tu uzi huu naona nimekosea sana ... duuuh hatari sana , inashangaza kuna watu wanataka kuona
 
Hata kusoma tu uzi huu naona nimekosea sana ... duuuh hatari sana , inashangaza kuna watu wanataka kuona
unashangaa?! shukuru sana upo bara watu wana amani, unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi unachunga mifuko ya suruali kwa makini bila bugza.

ukienda zanzibar huko watu wanachunga makalio kwa makini kuliko mifuko ya suruali, watu wanaishi kwa wasiwasi bila amani, na ukizubaa tuu, marinda yanapotea muda wowote.
 
Sijajua IFM Ina ingiaje hapo....Ni sawa Sawa na Muislmu mmoja KULA kitimoto hadharani alafu wew unakuja ku conclude waislamu wanakula kitimoto....

Hata kama una chuki na IFM punguza mihemko.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…