Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Chimbuvu nimempa kamati ila my wife wake sijathubutu,Madame B anaweza kutuletea fujo bure,Filipo wala hajapinga kuhusu nafasi aliyopewa ya ulinzi ina maana amekubali!
 
Kweli kabisa angalizo zuri maana anaweza kupiga teke keki na vyakula!

Chimbuvu nimempa kamati ila my wife wake sijathubutu,Madame B anaweza kutuletea fujo bure,Filipo wala hajapinga kuhusu nafasi aliyopewa ya ulinzi ina maana amekubali!
 

duh! Wanawake wa siku hizi, maandalizi wanafanya wenyewe, Aluta continua, tukiwezeshwa tunaweza eti!
 
duh! Wanawake wa siku hizi, maandalizi wanafanya wenyewe, Aluta continua, tukiwezeshwa tunaweza eti!

wifi kaka ako yupo busy c unajua shughuli zake?ww mwenyewe nilitaka unisaidie mambo yamekua mengi kumbe ulienda kijijini kuweka mambo sawa,imebidi nifanye mwenyewe maana kaka yako bishanga haeleweki kabisa,ndio kwanza anajitangazia chop ma money kwa kina dada,hapa nilipo nimechanganyikiwa bora umerudi!
 
Eti passion lady umesema floor manager ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Mr. Lawyer with your wife tu-bii passion lady! Excuse kwa kuchelewa kidogo kutia maguu , kwenye kinachoendelea hapa.
Nevertheless nina imani sijachelewa majukumu!
Hebu nipeni mtiririko wa shughuli ulipo. Nini kiko vipi , na wapi nianze kupa'activisha .
 
Last edited by a moderator:
Hapo wa kumhofia kuhusu fujo labda Madame B , about Mkongomani now dayz hana matata katulia .

yah!ulinzi umeimarishwa judgement, madame b tunajua kabisa fujo zake,kuhusu chimbuvu yupo kweny kamati kabisa coz ni kijana mtulivu na muelewa!
 
 
Nadhani bado sijachelewa kujitangaza.... Nauza vitu vya ukweli vya harusi...nitakuwa na display Hapa, bei maelewano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…