Usiku wa kuamkia jumapili tar 7 april watu wasiojulikana
wamechoma moto ofisi ya taaluma hapo shuleni na
kuteketeza kabisa kila kitu. Hakuna kilicho okolewa. Hasara
ni kubwa sana zaidi ya mamilioni. Vyeti ya wahitimu form
four na form six, vitabu na nyaraka muhimu navyo vyote
vimeteketea
UAMSHO at work