The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Aliyejiita Docta wa uchumi Tz unamjua?we hiyo critical thinking hata unajua maana yake. Hivi mpumbavu km wewe unaweza kumtahini profesa? We ni km ngedere tu umejaa wivu kwasababu huna uwezo wa kufikia level hizo utabaki kuzisikia kwa watu
Weka mkataba wa marekani hapa nikuwekee wa tanganyikaSiasa nyingi nchi hii na kila mtu anadhani anao uwezo wa kuiongoza. Kuweka mikakati ya kuongeza ufanisi haina maana kwamba CCM wanashindwa kuongoza nchi.
Mikakati ya mabadiliko ndio iliyoibadilisha Singapore kutoka ilipokuwa miaka hiyo ya 60 mpaka ilipofika leo hii.
Uingereza, Marekani na nchi nyinginezo nyingi tu wamemchukua DPW ili awekeze katika bandari zao, sio wajinga. Ni watu wenye uelewa wanafanya nini kuliko sisi.
Hii Nchi in watu wa ajabu saana anafikiri tumesahau...yaani Uchawa Kwa Sasa ni Adui wetu no moja!We jamaa huwa hueleweki msimamo wako ni upi , nakushauri uwe unachukua mda kidog wa kutafakar kabla ya kuandika chochote, we s majuzi juzi ulikuwa chawa wa huu mkataba Leo tena unapiga U_turn
Mkuu Hatujui Jeshi Lipo Upande Gani.Wao wameanza kujizungusha huko kwa machifu na kuwataka watuloge sisi tunaoonyesha makosa ya huu mkataba (kutukumbusha kuwa kuna chifu mangungo wa Msovero aliwahi kuuza nchi na watu).
Wao wanasema wameshasaini, sisi tukae kimya. Wamejisahau kuwa wao ni wawakilishi wetu sisi lakini sisi si wawalilishi wao.
Hawajui kuwa tunaweza kuamua kujiwakilishq wenyewe. TUKIAMUA
Ujumbe mkubwa ambao Samia anautuma Kwa vichwa ngumu niWanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.
Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, lucha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, nayo ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted or detected na ika sail through?!.
Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.
Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.
Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali
Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.
Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA
Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA
Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, wala sio mawakili, kutuongozea timu za majadiliano ya hii IGA!, unatemea nini?. Wanasheria vilaza hawa wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii no kuashiria TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!. Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA
Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.
Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, ndio source ya mikataba yote mibovu and in fact ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA
Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
- First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
- Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
- Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
- Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
- Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
- Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kila kinachoitwa, mengine ni madudu kama hili dubwana!.
- Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
- Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
- Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
- Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.
Sasa naanza kuaminika pale juu akikaa Fulani na huku chini tutabadilika na kuwa kama Fulani. Lakini Pale Juu akilala Fulani na huku chini wengi tutatamani kulala kama Fulani!!!Paskali, jana usiku ulipata Whiskey...umemsikia Tulia? anakataza watu ambao hawajawahi kuagiza fulana wasiongee kuhusu bandari
Mindset kwa Sasa zipoje, na inatakiwa zibadilike ziwe za namna gani tofauti na Sasa hivi?Ujumbe mkubwa ambao Samia anautuma Kwa vichwa ngumu ni
Za kijinga jinga zinawaza ujima na ujamaa badala ya kuwaza uchumi, Biashara na kukamatia fursa..Mindset kwa Sasa zipoje, na inatakiwa zibadilike ziwe za namna gani tofauti na Sasa hivi?
Tukiwa specific tutarahisisha maisha.
Mambo ya kina Nyerere yalikuwa ya Kijinga? Nipe kosa Hata moja la kijinga kijinga lililomo kwenye Azimio la Arusha(1967)! Mimi nikupe Lukuki yaliyomo kwenye Azimio la Zanzibar(1991/1992)Za kijinga jinga zinawaza ujima na ujamaa badala ya kuwaza uchumi, Biashara na kukamatia fursa..
Mnawaza mambo ya kina Nyerere karne hii?
Naweza kukupa makosa hata elfu 1 ila nakupa mawili tuu kwanza ambalo ni starategicMambo ya kina Nyerere yalikuwa ya Kijinga? Nipe kosa Hata moja la kijinga kijinga lililomo kwenye Azimio la Arusha(1967)! Mimi nikupe Lukuki yaliyomo kwenye Azimio la Zanzibar(1991/1992)
Sawa ujamaa unashida kwa mawazo yako, Na kujitegemea nako kuna shida? Yaani Dunia ya Leo unawaza kusaidiwa badala ya Kujitegemea na kuendesha mambo yako?
Hekima, Busara, na Uelewa wa Mambo ni nguzo muhimu katika kukabiliana na Changamoto. Yazingatie haya!
Paskali... nadhani hints ni zile zile!Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, lucha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, nayo ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted or detected na ika sail through?!.
Paskali.
Usimwamini sana... Leo anaandika hivi lakini hapo nyuma alikuwa anaitetea sana hiyo IGA ya DPW!Leo nimeanza kumwona yule Mayala wa enzi za JK.
Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
Kwa mfumo wetu wa uendeshaji nchi, chombo pekee chenye mamlaka ya kuukataa ni Bunge la JMT. Bunge ndio wawakilishi wa wananchi, hivyo kama Bunge limepitisha, hii IGA ni imepita!, sasa tunajiandaa kwa HGAs,1. Kwenye Legal aspect ya mkataba , Sisi tunawasikiliza TLS, Professor Shivji, Dr Nshala, Lissu, Mwabukusi, Madeleka
2. Kwenye economic aspect ya mkataba tunamsikiliza Professor Lipumba.
3. Kwenye social aspect ya mkataba tunamsikiliza Professor Tibaijuka
Kwa kuwa Manguli wote hao wamesema Mkataba huu una shida, basi una shida kweli na hatuutaki!
Acha kutukana wenzako ni vilaza ?....unataka wapoteze kazi sio ?Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, halafu wanatuletea wanasheria vilaza waliofeli LST, wala sio mawakili, kutuongozea timu za majadiliano ya hii IGA!, unategemea nini?!.
Ccm ndio chimbuko la huo Ukilaza, wao ndio tatizo hasa.Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu
Suala sio mkataba suala ni wapigaji wa hapo bandarini kusikitika wanapoona ulaji wao unawachomoka.Weka mkataba wa marekani hapa nikuwekee wa tanganyika
Aisee hadi mwili umesisimka, kwanza hongera kwa kutumia usomi wako kutuhabarisha pili kama mkataba ukiwekwa na ujinga mwingi kwenye IGA ! Basi kuna rushwa na upigaji upo na tunarudi kwenye mikataba kichefuchefu kama nishati na madini yaliyopita.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.
Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, lucha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, nayo ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted or detected na ika sail through?!.
Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.
Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.
Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali
Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.
Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA
Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA
Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, halafu wanatuletea wanasheria vilaza waliofeli LST, wala sio mawakili, kutuongozea timu za majadiliano ya hii IGA!, unategemea nini?!.
Wanasheria vilaza hawa wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.
Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA
Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.
Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakil, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.
Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu",
Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA
Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.
Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
- First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
- Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba.
- Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
- Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35 shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
- Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa liidhinishe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
- Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kila kinachoitwa, mengine ni madudu kama hili dubwana!.
- Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu.
- Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
- Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
- Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.
Shida kubwa ya azimio la Arusha .I dola kumiliki menejimenti ya njia kuu za Uchumi! Mengine yalikuwa safi.Mambo ya kina Nyerere yalikuwa ya Kijinga? Nipe kosa Hata moja la kijinga kijinga lililomo kwenye Azimio la Arusha(1967)! Mimi nikupe Lukuki yaliyomo kwenye Azimio la Zanzibar(1991/1992)
Sawa ujamaa unashida kwa mawazo yako, Na kujitegemea nako kuna shida? Yaani Dunia ya Leo unawaza kusaidiwa badala ya Kujitegemea na kuendesha mambo yako?
Hekima, Busara, na Uelewa wa Mambo ni nguzo muhimu katika kukabiliana na Changamoto. Yazingatie haya!