Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kabla ya UVIKO-19 haukupoteza ndugu, jamaa na marafiki?
Sio kwa wingi huo,,,muwe mnaelewa basi,,,,,,.kwani hakuna vipimo vinavyo onyesha mtu ana covid!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya UVIKO-19 haukupoteza ndugu, jamaa na marafiki?
Wacha porojo bwana mdogo.
Maigizo yenu yatabuma vibaya sana.
This time round, you shall fail miserably.
Wacha weee!!Okoa maisha yako na ya wengine.
Hata wewe ungepotea ingependeza zaidi.Nimepotelewa na jamaa zangu wa karibu,,
Mabeberu na mashetani hayajui wapi pa kushika baada ya machanjo yao kubuma na ajenda zao za siri kubumburuka.Mkamtukana ngosha kisa alipinga lock down sasa hivi ngosha 5 WHO-0 pambano linaendelea
JPM nilimkubali hapo asee, maono plus msimamo.Kwa Tz ilikuwa vita tu na JPM,maana hata wale waliokuwa wanasema misongamano kwanini inaruhusiwa,saizi wale wanaharakati siwaoni tena......... JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia nchi hii inawanafiki wengi sana na hawana hata aibu
Mungu anajua kuumbua watu. Yaani Mama Yetu Samia alivyokomalia chanjo utadhani ndiyo yeye anajua zaidi kuhusu COVID-19. Yaani aliyoyasema Dkt Magufuli yote yamekuwa kuwa hivyo hivyo na Mama alikuwa sehemu ya huo mpango ila kwa sababu Mungu huwa hapendi unafiki alimchukua mapema Dkt Magufuli akabaki Mama kaonesha uhalisia wake na kulazimisha watu kuchoma sindano na matokeo yake dunia sasa haiongelei chanjo bali kuishi na ugonjwaHii isidingo ya corona mbona kama vile imefika tamati bila wadau kupewa taarifa rasmi?
Zile mbwembwe za machanjo na mabarakoa zimeishia wapi?
Ati ooh watu watakufa kama kumbikumbi sijui nini! Kiko wapi?
Bado kitambo kidogo tutajua tu ukweli wa hii movie ya kihindi.
Siku hizi sioni tena mabarakoa yakivaliwa?
Hata wewe ungepotea ingependeza zaidi.
Kwanini unapumua? Umevaa barakoa?
Nini siri ya uhai wako?
Bado tu hawajafunga uzi kwa majibu murwa kabisa haya yako [emoji848][emoji847]True ni baada ya ibilisi kupata hasara ya kupigwa kombora moja zito hatari sana akapoteza watendaji Kazi wake wengi kuzimu nae kwa hasira akaamua kurevenge duniani kwa kuleta corona Ili avune watu wengi ndani ya mda mfupi Sana kufidia watu wake waliokufa.
Wenye macho ya kiroho waliona hilo.Magufuli aliona hilo akawaambia watz Hakuna corona ni michezo hio watu waombe,wengi awakumuelewa,baadhi ya watu wa dini nao walioona huu mchezo, hata Mimi nilikuwa against Jpm nilipozama chimboni kutafuta maarifa katika ulimwengu usioonekana, nikaja kumuelewa Magufuli alikuwa sahihi.
Hii ni michezo ya darksiders.
Ishu za corona, majanga mbalimbali, sijui mabadiliko ya tabia nchi, na mengine yajayo. Ni michezo tu ya darksiders
Kaka msamehe bure tu Jamaa utamuua, bado CHAWA wenzake hawajafika hapa kumponda JJPM, ndiyomaana hana nguvu ya kukurundikia uwongo hapa [emoji13]Mbona we hujafa! Mzee wa makorona feki!
Si ungekufa tu wabaki watu wenye tija kuliko wewe kinyamkera unayelilia makorona!
Wewe binafsi ulipoteza wangapiAcha maskhara, tumepoteza watu wengi kwa corona. Ndugu, jamaa na marafiki.
Kabla ya UVIKO-19 ulipoteza wangapi ukilinganisha na kabla.Sio kwa wingi huo,,,muwe mnaelewa basi,,,,,,.kwani hakuna vipimo vinavyo onyesha mtu ana covid!
Serikali lako la samia limetoa takwimu ngapi?serikali lako la magufuli halikutoa takwimu
Kwa hilo hawezi kusahaulika,lock down ingeleta maafa zaidi.... asilimia kubwa maisha ya familia zetu ni mpaka utoke ndiyo urudi na kamfuko home...... wengi hatuna surplus hata ya kutoboa siku 3 tu......JPM nilimkubali hapo asee, maono plus msimamo.
Yaani angetupiga lock down... Sijui ingekuwa vipi asee.
Kuna wanafiki kipindi cha Magufuli walikuwa wanalilia Lockdown, lakini huwezi amini sasa hivi wao ndio vinara wa maandamano uchwara na mikusanyiko ya kisiasa kila pahala.Kwa hilo hawezi kusahaulika,lock down ingeleta maafa zaidi.... asilimia kubwa maisha ya familia zetu ni mpaka utoke ndiyo urudi na kamfuko home...... wengi hatuna surplus hata ya kutoboa siku 3 tu......
Sasa hiyo hali tukaimalizaje mwishoni hadi sasa tuone hali ipo shwari?Acha maskhara, tumepoteza watu wengi kwa corona. Ndugu, jamaa na marafiki.
Ujinga mtupu!Ukipita kwa barabara ukakuta mtu kagongwa kafariki huwezi umia wala kusikitika sana sabu sio muimu kwako ila ukipita barabaran ukakuta ndugu/ rafiki yako kagongwa kafariki utataka kumjua nan kamgonga na yuko wap na km yuko chini ya ulizi wa polisi
Sasa ni km corona kwakua ujayaona madhara yake unaleta kebei zako apa unaliita janga la dunia sarakas ila ambao limewagusa wanajua na wamenyamaza na maumivu yake wanayajua
Tunavyoongea saiv Chini miji mingi watu wako lock down ad saiv na kuna majiji mengne yana idadi kubwa za watu yamefungwa yako lockdown
Ata nchi ambazo zinakusaidia ww tanzania ktk maendelea yako na bajeti meng bado yanapambana na corona na watu wako lockdown km