T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Kwahiyo mnapambania jf kuitoa Ccm sioCcm imechokwa mkuu! Sio kujipambanua wala nini!...wanatuchezea rafu sana!bora liwalo na liwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mnapambania jf kuitoa Ccm sioCcm imechokwa mkuu! Sio kujipambanua wala nini!...wanatuchezea rafu sana!bora liwalo na liwe!
MweeWakitaka wabadilike na kuacha kuunga mkono kila kitu utafikiri hawajui kinachoendelea
Hayo umeongea weweKwahiyo mnapambania jf kuitoa Ccm sio
Hayo umeongea wewe
Ujue kuna watu wanakera.Mwee
Mimi naona kwa kuwa wapinzani wa Bongo majimbo yao yako Twitter, Jf na Whatsapp basi watwange block wanaccm woteUjue kuna watu wanakera.
Kupingana kwa hoja sio shida, shida ni kuleta vioja ukataka watu waone ni hoja.
Siwezi ignore mtu ambaye napishana nae mtazamo, bali anayelazimisha bila hoja tena kwa kejeli ukubaliane naye.
Sasa kuna watu kama wewe, hoja huna ila kujaza server tu, welcome to my list matangaKama ina impact yoyote sio hao tupo na sisi gongeni Block
Humjui vizuri, nimezinguana nae mimi kanitukania mama yanguNilipigwa ban ya wiki kwa sababu ya member mmoja anayeonekana mungu-mtu humu JF. Jamaa ni mweupe kichwani halafu ana kauli mbaya. Naanza na huyo, nafatisha na watu kibao waongo na wenye matusi.
Kuna watu wanakera lakini tunaishi nao, mtu kama Bia yetu sikubaliani nae kabisa lakini sijawahi ona anatoa lugha chafu hata umkosee vipi.
Hahahaaa mkuu kumbe ulianzia kuomba huku hadi ikafikia kutufungulia uzi kabisa, ila uzi wako wa tik tok imeleta balaa mtamu sana ule uzi, kuna moja dada anacheza wimbo wa nikikupea utawezana yaani nimemwelewa kweliNaomba mlitazame na mnipe briefing..
Najua zamani video zilikuwa shida sababu ya server..Ila now naamini sio tatizo.
Na dunia inazidi kwenda kwenye video sharing
Kuliko text.. JF naomba iende na wakati
YouTube .tick tock na other apps lazima JF
Iweze kwenda na wakati
Great thinker siku hizi ni genge la democrats kumtukana trump...... yani wanaongea kashfa na maneno hovyo hadi unajiuliza hawa ni great thinkers?......Hiyo ni idea nzuri ila nikifikiria kuhusu Forums kama za Premium Members na Great Thinkers zilivyokuwa zamani na sasa jinsi zilivyo sasa (Kama bado zipo / ipo) kudumu kwake hiyo forum itakuwa na changamoto sana
Maxence Melo access ya kwenye jukwaa la Great Thinker nilishaomba ila mpaka leo kimya
Maxence Melo mtu atajua kuwa ID fulani imemuweka kwenye ignored list?