Itakuwa ni mtu ambae ana uadui na masanja may be kaamua kumkomoa.Hakuna mtu mwenye akili chafu aaue mgoni wake kisha amchafue mkewe wake.
Hio barua tu tayari ni kasfa bila kujali alikuwa anakula au la
Kama ndio Hawa ngoma droo!Salaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Acha upumbavu.. nobody is above the law.. justice for this poor guy is a mustKama ndio Hawa ngoma drop!
Hamna haja ya kupoteza resources kuchunguza, aliyezidiwa kaxidiwa
dah.Mimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.
Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.
Something is wrong somewhere.
Inawezekana hata sababu isiwe mapenzi,Kwahiyo unataka kutuambia Masanja kamdedisha jamaa baada ya kugundua anadoea utamu wake kimasihara?
figganigga nakupigiaSalaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Poa. Nipigie telegram ndo napatikana kwa sasa.figganigga nakupigia
We nani hadi uje na ushahidi huo, ulifanyia wapi uchunguzi kwa Binadamu wote duniani?Hakuna mtu mwenye akili chafu aaue mgoni wake kisha amchafue mkewe wake.
Hio barua tu tayari ni kasfa bila kujali alikuwa anakula au la
We uoni ni kashfa hio labda ndo staili mpya hioWe nani hadi uje na ushahidi huo, ulifanyia wapi uchunguzi kwa Binadamu wote duniani?
Moyo wa mtu ni giza.
True mke wa mtu ni mpangaji hata mlaji aiingii miguu yoteItakuwa ni mtu ambae ana uadui na masanja may be kaamua kumkomoa.
Doesn't make sense mtu ajiue kwasababu ya kukataliwa na mchepuko ambaye ni mke wa mtu. Na yeye ana mke tena kamuoa juzi juzi tu hapa.
Labda kama ana matatizo ya akili