Massanja haez ua hlf ajiachie ushahid wa kushikwa , kuna mtu kamuua huyo dogoIngekuwa kwa wenzetu nyumba ishapigwa utepe...upelelezi mwanzo
Mwisho unafanyika...hawajali we nani!
Ila kwa bongo matukio kama haya yatapita tu
Ova
mama mchungaji kaubana mpaka basi.Ile page ya twitter kama ni kweli ya mama Mchungaji yanayopostiwa mbona hayafananii na umama uchungaji ni post za kingono ngono tu labda sio yake
Ndugu wa mke wa marehemu wanasema wazi kabisa..Mambo mengi yamegunduliwa ikiwemo baadhi ya waumini walikuwa wanajua huo uhusiano na muumini mmoja alishawakuta live wanapeana kiss zito la mate...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unajua utamu wamtaro wewwMimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.
Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.
Something is wrong somewhere.
Kajinga sana,unamla mke wa mtu alafu unakuwa karibu na mwenye mke,ndio kuna bro fulani alifanya huu ufala sik moja,huwa anamla mke wa msela,siku moja wamekutana Bar na msela akakaa naye meza moja eti wanapiga na storiesDogo kawaishwa
🤣🤣Kajinga sana,unamla mke wa mtu alafu unakuwa karibu na mwenye mke,ndio kuna bro fulani alifanya huu ufala sik moja,huwa anamla mke wa msela,siku moja wamekutana Bar na msela akakaa naye meza moja eti wanapiga na stories
Koneksheni ipo hewa Tena dogo alikuwa anakula kisamvu Cha mama mchungajiKwahiyo unataka kutuambia Masanja kamdedisha jamaa baada ya kugundua anadoea utamu wake kimasihara?
Dogo wamemdedisha afu wanazuga kajinyonga.... Mbinguni tutaenda wachache sanaKoneksheni ipo hewa Tena dogo alikuwa anakula kisamvu Cha mama mchungaji
Ambaye katumwa na Masanja....Massanja haez ua hlf ajiachie ushahid wa kushikwa , kuna mtu kamuua huyo dogo
Na kama ni kuuwawa basi waliofanya hivyo ni wajinga kwani kama ana mke si bora wangesema tu kuwa amejinyonga kutokana na kumhisi mkewe kuwa anafanya cheatingMimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.
Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.
Something is wrong somewhere.
Naiomba Mkuu,nione papuchi ya MonicaKoneksheni ipo hewa Tena dogo alikuwa anakula kisamvu Cha mama mchungaji
Za chini ya kapeti zinasema dogo alifumaniwa, vijeba vikamtatua marinda huku akirekodiwa; alipotoka hapo akaenda kujipiga kitanziHata mi akili imeanza kukataa, kijana smart kama yule hawezi kujiua kizembe aiseee, kuna tatizo sehemu mambo ya deep state
Ebu maliza story na wee acha kiingilia hbr za kusadikikaTIGHA BHATEMWE!View attachment 2375582
Ahahaaa kila mwanmk unamlamba hauko serious mkuuKwanza, Feel free church huenda inamaanisha unamranda mwanamke yoyote unayekutana naye hapo church.
Pili, uchunguzi wa kina ufanyike.
Hayp aliyoyaleta hapa yamesemwa na IGP ba si yeyeHakika hii post ni ya mtu aliyeenda shule!