IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Ndugu wa mke wa marehemu wanasema wazi kabisa..Mambo mengi yamegunduliwa ikiwemo baadhi ya waumini walikuwa wanajua huo uhusiano na muumini mmoja alishawakuta live wanapeana kiss zito la mate...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
mmmh!! Hatari
 
Hii hoja yako itapuuzwa na watu wote ambao hawajasoma kitabu cha yule bodyguard wa Mr slim, ninacho soft copy, jamaa anadai Kagame ana matatizo ya akili kwa mfano, kuna siku Kagame alitapika kwenye gari na kushuka kwenda kukojoa kichakani, bodyguard ikabidi aende kufuta yale matapishi,aliporudi Kagame akampiga mlinzi ngumi,

siku nyingine Kagame kapiga simu kwa Dk mmoja ikapokelewa na mdada wa kazi ilikuwa miaka ya 90,kagame akasema mpe mwenye simu niongee naye,mdada akagoma anataka kujua nani anaongea,kagame akawasha gari akaenda kumziba makofi yule House girl na kuamuru afukuzwe kazi hana adabu
Kama unaona naomba unishare namm nipate kusoma hiyo story ya Mr slimu interested sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni kweli kamtumia mke wa masanja private, nani ameisambaza?
Kwa akili ya kawaida mke asingeweza kumuonyesha mtu.
Demi lini huyu kijana anazikwa na wapi anazikwa niwatume vijan wangu wakafanye independent investigation

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii tabia ya kuvaa tu majoho huku ni kudhalilisha elimu za watu ..watu tunakujua ya kuwa shule ilikusumbua then unajitupia tu joho la PHD holder kwann lkn ?
Mbaya Sana mm mwenywe mwanagu akifaah kile kikofia Cha undergrudute nakerekaa mno eti katoto Cha lasaba nae anavalishwa joho upuuz huo mnadhalioisha elimu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Walijua utawaza hivyo, ili kuwaondolea suspicion
 
Huyo mtu atakuwa ukoo wake kuna historia ya kujiua. Haya mambo huwa hayaji hivi hivi
Mtu aliyejiua na aliyeuawa ni rahisi sana kubaini, uchunguzi ukifanyika ni sekunde tu kujua.
 
Au dogo alitaka kuvujisha ishu ya jamaa kama ambavo tetesi zilivyo kuhusu poda..
Hichi kifo ni kama cha agness masogange
 
Ndugu wa mke wa marehemu wanasema wazi kabisa..Mambo mengi yamegunduliwa ikiwemo baadhi ya waumini walikuwa wanajua huo uhusiano na muumini mmoja alishawakuta live wanapeana kiss zito la mate...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..
 
Khatibu kazikwa...naona mpaka sasa police kimyaaaaa

Ova
 
Back
Top Bottom