IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Ndugu wa mke wa marehemu wanasema wazi kabisa..Mambo mengi yamegunduliwa ikiwemo baadhi ya waumini walikuwa wanajua huo uhusiano na muumini mmoja alishawakuta live wanapeana kiss zito la mate...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ile page ya twitter kama ni kweli ya mama Mchungaji yanayopostiwa mbona hayafananii na umama uchungaji ni post za kingono ngono tu labda sio yake
mama mchungaji kaubana mpaka basi.
 
Ndugu wa mke wa marehemu wanasema wazi kabisa..Mambo mengi yamegunduliwa ikiwemo baadhi ya waumini walikuwa wanajua huo uhusiano na muumini mmoja alishawakuta live wanapeana kiss zito la mate...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Eheee kumbe
 
Mimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.

Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.

Something is wrong somewhere.
Unajua utamu wamtaro weww
 
Dogo kawaishwa
Kajinga sana,unamla mke wa mtu alafu unakuwa karibu na mwenye mke,ndio kuna bro fulani alifanya huu ufala sik moja,huwa anamla mke wa msela,siku moja wamekutana Bar na msela akakaa naye meza moja eti wanapiga na stories
 
FB_IMG_16641989922491274.jpg
 
Mimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.

Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.

Something is wrong somewhere.
Na kama ni kuuwawa basi waliofanya hivyo ni wajinga kwani kama ana mke si bora wangesema tu kuwa amejinyonga kutokana na kumhisi mkewe kuwa anafanya cheating
 
Back
Top Bottom