IGP Kenya Maandamano yamemng'oa Ofisini. Wakwetu matukio ya utekaji yatamng'oa lini?

IGP Kenya Maandamano yamemng'oa Ofisini. Wakwetu matukio ya utekaji yatamng'oa lini?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

IMG-20240712-WA0025.jpg
 
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

View attachment 3040772
Ukiona Watanganyika tunavyoua vibaka utagundua siku wananchi wakibadilika viongozi vurugu za Kenya zitakuwa kama Toto party kwa timbwili la watanganyika. Watanganyika wanafanya waastarabu lakini wakichoka wanakuwa kama mbwa mwitu.
 
Ukiona Watanganyika tunavyoua vibaka utagundua siku wananchi wakibadilika viongozi vurugu za Kenya zitakuwa kama Toto party kwa timbwili la watanganyika. Watanganyika wanafanya waastarabu lakini wakichoka wanakuwa kama mbwa mwitu.
Mfano.......
 
Sio rahisi Kwa nchi yenye Raisi anayekubali kuitwa Dr Kwa udaktari wa kupewa na vyuo vya hovyo, na wananchi waliojazana kwenye ajira za uchawa, kubeti na bodaboda
 
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
Hiko hivi... Life gives you what you fight for. Usipojipambania HAKUNA kitakachotokea na kikitokea kinakuwa ni kama msaada.
Haikuwa rahisi kwa waKenya kufika walipo leo! Nasi tuendeleze kjifunze kujipambania!

Hawanaga risasi za kutumaliza! Tuache woga!
 
Kwa hiyo kila kinachofanyika kenya na hapa kifanyike au sio!
Sio Kenya tuu, lolote lifanyikalo popote duniani lililo jema ni kheri kuliiga Mr Kipara!
Swali bado limesimama, atajiuzulu lini au mpaka ang'olewe? Au mpaka siku mtoto wa Jenerali Mkunda au yeyote wa ofisi kuu yamtokee kama Sativa ndio atawajibika kwa aibu na ofisi yake yote?
 
These are failed states. Koome was a good officer compared to the Uhuru administration watu walikuwa wanapotea kikwelikikweli kuliko huku kwetu wanakimbiac madeni au kushikwa ugoni. Kenya is lost, anayekuja mteule wa GenZ atakuwa mshikaji
 
Sisi tuna nchi yetu insyoongizwa na jemedaria wetua rais Samia Suluhu Hassan na Kenya Wana nchi ydo. Tuache mambo ya Kenya, tuliende amani yetu.
 
Back
Top Bottom