Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake