Kabisa 100%, wametuzidi elimu!.Kwa hiyo kila kinachofanyika kenya na hapa kifanyike au sio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa 100%, wametuzidi elimu!.Kwa hiyo kila kinachofanyika kenya na hapa kifanyike au sio!
Kwa Wadanganyika na Uchawa wao haitakaa itokee kamweTumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Tanzania sio Kenya. Hapa mtu ukiambiwa usifanye na ukafanya, UTAPIGWA TU. Nami nasema, WAPIGWE TU.Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Katiba iliyofeli kwenye Finance Bill?🐼Kupitia katiba nzuri ya wananchi. Jee kwa nini hapa kwetu maamuzi ya kupata aina hiyo ya katiba yanakuwa magumu?
Huyu wa kwetu ataondokaje wakati yeye ndiye anawatuma watekaji?Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Toka aingie Samia kuna maandamano gani yaliyofanywa na wananchi na Samia akawapa ulinzi? Au unakusudia yale maandamano ya Chadema?Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.
Usifananishe na Tanzania ya mama Samia ambayo ukiandamana unapewa ulinzi wa polisi usidhurike na usidhuru, kiulaini kabisa .
Kitu ambacho miaka minne tu nyuma, hata kuthubutu ilikuwa haiwezekani. Umesahau?
Utajaza wewe.Toka aingie Samia kuna maandamano gani yaliyofanywa na wananchi na Samia akawapa ulinzi? Au unakusudia yale maandamano ya Chadema?
Kuna faida gani kumlinda mtu kwenye maandamano ya wazi lakini unawasaka mmoja mmoja anayepinga mtandaoni na kumteka kumpeleka kumtesa Osterbay polisi kisha kwenda kumuulia porini Katavi au kumtupa baharini?Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.
Usifananishe na Tanzania ya mama Samia ambayo ukiandamana unapewa ulinzi wa polisi usidhurike na usidhuru, kiulaini kabisa .
Kitu ambacho miaka minne tu nyuma, hata kuthubutu ilikuwa haiwezekani. Umesahau?
Et ukifanya maandamano Samia anakupa ulinzi.Utajaza wewe.
Sema wamekuzidi sio wametuzidi!Kabisa 100%, wametuzidi elimu!.
Umemuona sativa muhuni mmoja aliyejiteka!Sio Kenya tuu, lolote lifanyikalo popote duniani lililo jema ni kheri kuliiga Mr Kipara!
Swali bado limesimama, atajiuzulu lini au mpaka ang'olewe? Au mpaka siku mtoto wa Jenerali Mkunda au yeyote wa ofisi kuu yamtokee kama Sativa ndio atawajibika kwa aibu na ofisi yake yote?