IGP Kenya Maandamano yamemng'oa Ofisini. Wakwetu matukio ya utekaji yatamng'oa lini?

IGP Kenya Maandamano yamemng'oa Ofisini. Wakwetu matukio ya utekaji yatamng'oa lini?

Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

View attachment 3040772
Kwa Wadanganyika na Uchawa wao haitakaa itokee kamwe
 
Afghanistan wana njaa kali ns umaskini, sijui kuhusu exposure ya elimu, akiachia ngazi atakufa njaa..bora fedhea lkn tumbo lishibe..aibu sana..yale mavi-8 unafikiri mchezo mzee??
 
Tena wa Kenya ni mwajiriwa ameamua kabisa aache mshahara mnono na machichiri kibao..nchi kwanza.Wa hapa bongo ni kupe mpaka labda mteule wake aamue.Ukipiga kelele sana na wewe unatekwa.
 
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

View attachment 3040772
Tanzania sio Kenya. Hapa mtu ukiambiwa usifanye na ukafanya, UTAPIGWA TU. Nami nasema, WAPIGWE TU.
 
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

View attachment 3040772
Huyu wa kwetu ataondokaje wakati yeye ndiye anawatuma watekaji?
 
Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.

Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?

Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?

PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake

View attachment 3040772
Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.

Usifananishe na Tanzania ya mama Samia ambayo ukiandamana unapewa ulinzi wa polisi usidhurike na usidhuru, kiulaini kabisa .

Kitu ambacho miaka minne tu nyuma, hata kuthubutu ilikuwa haiwezekani. Umesahau?
 
Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.

Usifananishe na Tanzania ya mama Samia ambayo ukiandamana unapewa ulinzi wa polisi usidhurike na usidhuru, kiulaini kabisa .

Kitu ambacho miaka minne tu nyuma, hata kuthubutu ilikuwa haiwezekani. Umesahau?
Toka aingie Samia kuna maandamano gani yaliyofanywa na wananchi na Samia akawapa ulinzi? Au unakusudia yale maandamano ya Chadema?
 
Mnaamini kabisa hili jeshi letu la polisi akijiuzulu mtu pale ndio mambo yatakaa sawa?
 
Huyo amejiuzulu baada ya maandamano.kwa hapa Tz ni ngumu Kwa sababu watz ni waoga wa kudai haki zao.Haki huwa inapiganiwa Kwa nguvu na siyo kutegemea huruma za watawala.Hata kipindi tunadai uhuru kipindi Cha ukoloni tulipambana na wakoloni Kwa nguvu Hadi kupelekea vifo na hatimaye uhuru tukapata Bila maandamano tz msahau kupata haki.kila siku mtaendele kukamuliwa tozo na mama abdul ili Abdul azitumie kukuza makampuni yake ambayo ameyaanzisha kipindi Cha mama yake kuwa rais
 
Amefanya uamuzi sahihi kwa sababu ameua bila sababu badala yankuwalinda wanaondamana na mali za raia.

Usifananishe na Tanzania ya mama Samia ambayo ukiandamana unapewa ulinzi wa polisi usidhurike na usidhuru, kiulaini kabisa .

Kitu ambacho miaka minne tu nyuma, hata kuthubutu ilikuwa haiwezekani. Umesahau?
Kuna faida gani kumlinda mtu kwenye maandamano ya wazi lakini unawasaka mmoja mmoja anayepinga mtandaoni na kumteka kumpeleka kumtesa Osterbay polisi kisha kwenda kumuulia porini Katavi au kumtupa baharini?
 
Sio Kenya tuu, lolote lifanyikalo popote duniani lililo jema ni kheri kuliiga Mr Kipara!
Swali bado limesimama, atajiuzulu lini au mpaka ang'olewe? Au mpaka siku mtoto wa Jenerali Mkunda au yeyote wa ofisi kuu yamtokee kama Sativa ndio atawajibika kwa aibu na ofisi yake yote?
Umemuona sativa muhuni mmoja aliyejiteka!
 
Back
Top Bottom