IGP Kenya Maandamano yamemng'oa Ofisini. Wakwetu matukio ya utekaji yatamng'oa lini?

Hapa kwetu nafasi ya IGP inakuwa salama zaidi kadiri wakosoaji wanavyotekwa kwa wingi.
 
Kenya watafika mbali sana.

Wameanza vizuri
 
Hapa kwetu kwa malofa mbunge wa kuchaguliwa pamoja na kumiminiwa risasi zaidi ya thelathini, IGP hakuwajibika kwa namna yoyote ile...ni laana!

.
Ila Tz hapana kwakweli khaa!!! Watu hata aibu hawana na wanshinda Makanisani na misikitini.
 
Kabisa 100%, wametuzidi elimu!.
Si elimu tu...wametuzidi busara, wametuzidi hekima na wametuzidi weledi.
Uhuru hauimbwi, hupiganiwa
Haki haibembelezwi, hudaiwa.
Amani haiombwi, ni matunda ya uhuru na haki.
 
Ni upumbavu kuona watu wanatamani machafuko kama ya Kenya. Tatizo la watanzania wengi ni exposure. Wengi wenu hamjawahi kwenda hata hapo Kenya mkajionea maisha magumu wanayoishi. Kenya wanaishi kibepari kwa 100%. Na ubepari ni unyama. Namsihi IGP Wambura asiwachekee wajinga wajinga wote wanaotamani tupitie njia wanayopitia wakenya.
 
Kuna quote moja ya anaitumia mkuu Invisible
akisema "onyesha weledi wako, ficha upumbaf wako"
inakuhusu sana hii katika maisha yako. Ni ushauri tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…