johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katiba inatoa mwongozo wa kupata WabungeBoss, yaani uko too low kiasi hicho kushindwa kutofautisha kati ya Constitution na Finance Bill?
Au umeamka na hang over?
Kama kinajenga uwajibikaji kiigwe. Mbona hata katiba watu wanaiga?Kwa hiyo kila kinachofanyika kenya na hapa kifanyike au sio!
Je pia kama katumwa ang'oke?Kwa Wadanganyika na Uchawa wao haitakaa itokee kamwe
HUKU WOTE WANA KADI ZA CCMTumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Hapa kwetu kwa malofa mbunge wa kuchaguliwa pamoja na kumiminiwa risasi zaidi ya thelathini, IGP hakuwajibika kwa namna yoyote ile...ni laana!Kama kinajenga uwajibikaji kiigwe. Mbona hata katiba watu wanaiga?
Hapa kwetu nafasi ya IGP inakuwa salama zaidi kadiri wakosoaji wanavyotekwa kwa wingi.Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Kenya watafika mbali sana.Tumesikia wote kuwa mkuu wa Polisi Kenya kaamua kuwajibika kutokana na matendo ya polisi wakati wa maandamano ya GEN.Z na kupisha wengine.
Je, wa kwetu yeye anasubiri nini kwa matukio haya yaliyo shamiri ya utekaji na utesaji huku basdhi ya vituo vya polisi vikitajwa kuhusika na matukio hayo?
Au anasubiri atangazwe "kutenguliwa" nafasi hiyo?
PIA SOMA
- IGP Koome ajiuzulu, Ruto aridhia kujiuzulu kwake
View attachment 3040772
Ila Tz hapana kwakweli khaa!!! Watu hata aibu hawana na wanshinda Makanisani na misikitini.Hapa kwetu kwa malofa mbunge wa kuchaguliwa pamoja na kumiminiwa risasi zaidi ya thelathini, IGP hakuwajibika kwa namna yoyote ile...ni laana!
.
Si elimu tu...wametuzidi busara, wametuzidi hekima na wametuzidi weledi.Kabisa 100%, wametuzidi elimu!.
Wezi hawatakubali kamwe Katiba Mpya.Kupitia katiba nzuri ya wananchi. Jee kwa nini hapa kwetu maamuzi ya kupata aina hiyo ya katiba yanakuwa magumu?
Tunataka na sisi apatikane kama wa Kenya......Dharau zitapungua.Unajua IGP wa Kenya anavyopatikana? 🐼
Jifunze kwa waliofanikiwaKwa hiyo kila kinachofanyika kenya na hapa kifanyike au sio!
Wamefanikiwa nini zaidi ya kuleta machafuko kwenye nchi yao?Jifunze kwa waliofanikiwa
Kuna quote moja ya anaitumia mkuu InvisibleNi upumbavu kuona watu wanatamani machafuko kama ya Kenya. Tatizo la watanzania wengi ni exposure. Wengi wenu hamjawahi kwenda hata hapo Kenya mkajionea maisha magumu wanayoishi. Kenya wanaishi kibepari kwa 100%. Na ubepari ni unyama. Namsihi IGP Wambura asiwachekee wajinga wajinga wote wanaotamani tupitie njia wanayopitia wakenya.
Mama yako mzazi ndo anajua vizuri upumbavu wangu. Kuwa na adabu wewe mwanangu wa kamboKuna quote moja ya anaitumia mkuu Invisible
akisema "onyesha weledi wako, ficha upumbaf wako"
inakuhusu sana hii katika maisha yako. Ni ushauri tuu