FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata Kama wangepeleka Asikari wote kusomea hizo mashine isingefika hizo gharama kubali ukatae kuwa pesa nyingi imepigwa kupitia huo mladi wa kifisadi.
= mradi
Tupe mchanganuo wa huo mradi tafadhali.
Nnaona hauelewi kuwa pia kuna kitu kinaitwa software katika mambo kama hayo ili kuwezesha kazi iliyokusudiwa ifanyike. Jee, unaijuwa thamani yake hiyo software inayotumika hapo?
Pia ungetumia akili japo kiduchu, kuna vitu vinaitwa, planning, designing, mobilization, demobilization, installation, testing, commissioning, training, after sales service, warranties, guarantees. Unajuwa thamani yake yote hayo? Au ulifikiri mradi kama huo ni kwenda kununuwa ugoro na kubugia?
Ooh Isitoshe, pia kuna kitu kinachoitwa profit margin. Au ulifikiri hiyo ilikuwa ni sadaka?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?