IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Laana ya kumkana mtoto inahusika.
 
Ni kitu cha kawaida mbona, ukizeeka mara nyinyi afya nayo lazima itetereke kwa asimilia kubwa. Nafikiri unachoshangaa hapa ni kwamba jamaa na ubabe wote huamini kama kazeeka. Kimsingi hamna cha ajabu.
 
Unapozaliwa hadi unazeeka kumbuka Kuna viungo vya mwili havijawahi kupumzika miaka yote mfano moyo,figo,ini, n.k, inafika mahala mwili pamoja na viungo vinachoka,so hiyo ni hali ya kawaida, tofauti ni vijijini ambavyo vizee vina miaka 80-90 lakini vipo poa vinaendesha baiskeli na kutembea bila shida.
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Kati ya yeye na baba yako nani anachechemea zaidi?
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Duh! Alikuwa jitu la kutisha enzi hizo
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Umbea kipaji.

Kama siyo mmbea weka vidoi akichechemea
 
Back
Top Bottom