IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Maisha ni hadithi tu
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Ungemuona komandoo ungelia au ungetimua mbio.
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Ni hivi uwe muislam uwe...uwe mkristo uwe jambazi uwe rais uwe muuwaji uwe mla rushwa uwe padre uwe shoga uwe mwema uwe na roho mbaya uwe na roho nzuri

Ni hivi kifo na uzee huwezi epuka ....kidogo uzee ukifa mapema unaepuka .

So msijafanye kama uzee ni laaana hatana ni human nature biologically tunazeeka hii haitaji kuwa ulikuwa polisi au mwanajeshi

Hata wew mwandishi uliyeandika upuuzi huo utazeeka labda uwe mapema ....pambafu
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Mbowe mbona aliikuwa akichechemea baada ya kutandika konyagi kubwa akiwa na bibi mdogo Joyce Mukya mbona hiyo maada hukuleta
 
Back
Top Bottom