IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

Sio umri sawa. Kama Mahita mnadai kalaaniwa ndio maana anatembea kwa mkongojo na mnamlinganisha na Mwinyi aliyekufa na miaka 98, kwanini hutaki nimlinganishe Mwinyi aliyekufa na 98 dhidi ya Salim Ahmed Salim mwenye miaka 82?

Nani kamlaani Salim Ahmed Salim aliyezidiwa na Mwinyi miaka 16 ila miezi kadhaa sasa hata kuongea hawezi?
Kwani mtu akitakiwa atukanwe huwa anaanzwa kwa kuamkiwa?
 
Mzee wako sio SI unit ya wazee, wala Mahita sio SI unit ya waliokataa watoto.
Unamaanisha wanaozaliwa wakiwa walemavu kutembea hawawezi nao walilaaniwa si ndio. Walilaaniwa lini na kwa kufanya nini.

Unalijua umbo la Omary Mahita enzi zake anastaafu, unalinganisha na umbo la Mwinyi wakati anakuwa Rais aged 60 yrs old? Linganisha ndio utajua genes na lifestyle ndio vinahusika.

Kama unatarajia Peter Msechu atakuwa na uzee sawasawa na Ali Kiba una matatizo kichwani.
Naona unapenda league sana,umeshindwa jukwaa la Russia 🇷🇺 & Ukraine 🇺🇦 umekimbilia huku.
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Hii ndio typical Tanzania

Angekua anatembea kama alivyokua na 60 years usingeandika

We really love to see people suffering and laugh or feel good about it

Umri wa mahita ni mkubwa na you may not live to be his age
 
Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!

Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.

Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Kama anachechemea lakini ana uwezo wa kublock camera basi ni giant
 
Kwani mtu akitakiwa atukanwe huwa anaanzwa kwa kuamkiwa?
Ikiwa alikuwa mla rushwaa,kubambikia watu kesi za urongo lazima laana zihamie kwake.
Naona unapenda league sana,umeshindwa jukwaa la Russia 🇷🇺 & Ukraine 🇺🇦 umekimbilia huku.
Omary Mahita anatembea mwenyewe kwa kutumia mkongojo. Mnasema amelaaniwa.

Salim Ahmed Salim hawezi tembea, hawezi ongea, anabebwa hata akitaka kusogea mita moja pembeni. Huyo naye kalaaniwa?
 
Pamoja na yote sio HEKIMA kufurahia MTU kuchoka au kutokuwa on mood this is too worst and unacceptable

Hata wale tusiowapenda tuwaombee Amani maana hatuwezi kujua what's happened hadi wakafanya mambo mabaya .

Tumuombee na tuombeane AMANI sote ni ndugu siasa ,dini, cheo ,madaraka visitugawe .

💭
 
Omary Mahita anatembea mwenyewe kwa kutumia mkongojo. Mnasema amelaaniwa.

Salim Ahmed Salim hawezi tembea, hawezi ongea, anabebwa hata akitaka kusogea mita moja pembeni. Huyo naye kalaaniwa?
Uliwahi kusikia Al-marhum mzee A.H.Mwinyi kukebehiwa?Kwa nini?Kukebehiwa ni moja ya vitu vilivyomo kwenye kifurushi cha laana.
 
Pamoja na yote sio HEKIMA kufurahia MTU kuchoka au kutokuwa on mood this is too worst and unacceptable

Hata wale tusiowapenda tuwaombee Amani maana hatuwezi kujua what's happened hadi wakafanya mambo mabaya .

Tumuombee na tuombeane AMANI sote ni ndugu siasa ,dini, cheo ,madaraka visitugawe .

💭
Umeandika kwa urahisi kama mtu amefurahi anakula senene na mbegu za kahawa/buni.
 
Hii ndio typical Tanzania

Angekua anatembea mama alivyokua na 60 years usingeandika

We really love to see people suffering and laugh or feel good about it

Umri wa mahita ni mkubwa na you may not live to be his age
Tabia za watu waliolala nyumba moja na mifugo kama mbuzi na kuku nyumbani kwao, bila jitihada za makusudi na kujitambua wanabaki na mentality za ajabu ajabu.
Mtu anakwambia mzee 70yrs+ anayetembea kwa mkongojo kalaaniwa.
 
IMG_0893.jpg
 
Back
Top Bottom