Utu ni nguvu na muda. Vyote 2 vinapaswa kwenda pamoja.ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Muda ukikosekana maana yake umauti na nguvu ikikosekana maana yake udhaifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utu ni nguvu na muda. Vyote 2 vinapaswa kwenda pamoja.ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Usiwe na mashaka.Ulikuwa unapewa taarifa tu kwamba tujitahidi kutenda wema uwe akiba tusisimangwe uzeeni kama tukijaaliwa kuufika.Nyie ndo mna hofu kama kuzeka hata babako kazeeka
Hata wema husimangwa mkuu huwezi kumridhisha kila mtuUsiwe na mashaka.Ulikuwa unapewa taarifa tu kwamba tujitahidi kutenda wema uwe akiba tusisimangwe uzeeni kama tukijaaliwa kuufika.
Umeona Al-marhum mzee Ali Hassan Mwinyi (RIP)mtu anamsimanga?Umsimange uchekwe?Dumu katika wema ndugu yangu.Ni hazina tosha.Hata wema husimangwa mkuu huwezi kumridhisha kila mtu
Umemuona msaidizi mkuu wa Mahita akiitwa Mwansasu? Nilimuona sehemu za Bahari Beach; kachoka sana!!Maaskari wengi hata wa vyeo vya juu wakistaafu huwa inakuwa tabu tupu.
Kuna mmoja ni mstaafu wa cheo cha SACP nilimuona kwenye social media akitoa mafunzo. Hivi sasa anaishi kijijini.
Ukitenda haki kwenye nafasi yako usinyanyase wengine. Hakuna atakayeshangaa hata ukitembelea mkongojo. Lakini ukiwa mbabe wa kunyanyasa wengine kama alivyokuwa Mahita, ndo wengine watashangaa kama mleta mada anavyomshangaa IGP Mahita. Maana jana alinyanyasa wengine bila kujua kwamba cheo ni dhamana ya mda.Ni kitu cha kawaida mbona, ukizeeka mara nyinyi afya nayo lazima itetereke kwa asimilia kubwa. Nafikiri unachoshangaa hapa ni kwamba jamaa na ubabe wote huamini kama kazeeka. Kimsingi hamna cha ajabu.
Labda wanashangaa inakuaje Mwinyi mpaka anakufa hakua anachechema na kutembelea mkongojo wakat ki umri ni far aged than MahitaUzee ni laana? Mtu mzee akichechemea na kutembea kwa fimbo anakuwa mlaaniwa?
Mnamzungumzia Abdul, mbona baba anamuhudumia mwanae kama Kawa.,.!!?Halafu mtoto mwenyewe sasa , Mahita Mtupu !
Labda wanashangaa inakuaje Mwinyi mpaka anakufa hakua anachechema na kutembelea mkongojo wakat ki umri ni far aged than Mahita
Huo mshangao wanastahili kuwa nao walio shule ya msingi. Salim Ahmed Salim hata kusimama hawezi, achana na kutumia mkongojo. Nani kamlaani.Labda wanashangaa inakuaje Mwinyi mpaka anakufa hakua anachechema na kutembelea mkongojo wakat ki umri ni far aged than Mahita
Salim A Salim ni umri sawa na Mahita?Huo mshangao wanastahili kuwa nao walio shule ya msingi. Salim Ahmed Salim hata kusimama hawezi, achana na kutumia mkongojo. Nani kamlaani.
Mzee wako sio SI unit ya wazee, wala Mahita sio SI unit ya waliokataa watoto.Laana ya kumkataa mtoto.Baba yangu ana miaka 87 mpaka leo anadunda kama wewe na mimi.
Mahita na Mzee wangu walifanyakazi pamoja tena Mzee wangu akimtangulia kuingia kazini.
Sio umri sawa. Kama Mahita mnadai kalaaniwa ndio maana anatembea kwa mkongojo na mnamlinganisha na Mwinyi aliyekufa na miaka 98, kwanini hutaki nimlinganishe Mwinyi aliyekufa na 98 dhidi ya Salim Ahmed Salim mwenye miaka 82?Salim A Salim ni umri sawa na Mahita?