Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Laana ya kumkana mtoto inahusika.Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Uzee ni laana? Mtu mzee akichechemea na kutembea kwa fimbo anakuwa mlaaniwa?Laana ya kumkana mtoto inahusika.
Halafu mtoto mwenyewe sasa , Mahita Mtupu !Laana ya kumkana mtoto inahusika.
Kati ya yeye na baba yako nani anachechemea zaidi?Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Haijalishi , bali uzi huu uwe somo kwamba baada ya madaraka kuna maisha mengineKati ya yeye na baba yako nani anachechemea zaidi?
Ndio maisha yapo mengine au nyie huko chadema mtaendelea kuwa na madaraka hata mkifa?Haijalishi , bali uzi huu uwe somo kwamba baada ya madaraka kuna maisha mengine
Duh! Alikuwa jitu la kutisha enzi hizoMnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
Huyu hajafa yuko haiNdio maisha yapo mengine au nyie huko chadema mtaendelea kuwa na madaraka hata mkifa?
Umbea kipaji.Mnamkumbuka IGP mstaafu Omary Mahita enzi akiwa madarakani miaka ile? Mzee wa ngunguri!
Alikuwa mwamba kwelikweli, IGP aliyekuwa na mamlaka haswaa, IGP mbabe na mwenye hulka ya aina yake.
Namuona anachechemea huku anatembea na mkongojo, ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.