Inahusiana nini? Na nilichoandika hapo!!!Sasa mbona polisi wakiitwa kurespond tukio la ujambazi hawatokei mpaka majambazi waondoke?
Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
Okay.. pengine siko well informed. Nazungumzia pale ambapo wakipigiwa kurespond utasikia, "gari halina mafuta"Hawatokei??
Ushawahi skia majambazi na polisi wamejibizana kwa risasinafu majambazi wakashinda?
Hao jamaa usiwachukulie poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo ulinipeleka shule?Inahusiana nini? Na nilichoandika hapo!!!
Hv huko mashuleni mlienda kusomea ujinga?
Kweli wewe mtoto eti mazingira ya kawaida Tanzania hujui Kama Ile Ni kazi professional au unataka kusema hawajui kazi yao wewe ndio unajuaMtoto ni wewe. Mie natumia busara ya kawaida katika mazingira ya Tanzania. Sasa ukiniletea term zenu za polisi na mimi sio polisi unategemea nini? Na mimi nikikuletea terms za kazi yangu nitegemee utanielewa? Ndio maana mnaambiwa jaribu kutumia akili kidogo.Sihitaji kujua P.G.O sijui kuelewa upumbavu na ujinga unaojionyesha hapa. Hizo P.G.O mbona mkiitwa kwenye tukio la ujambazi mnazisahau?
I wonder "wanamtangazia" nani na kwa interest gani?Hiyo ni nafasi ya 'kujitangaza' kwa gharama nafuu.
Mkuu sidhani wewe ni mgeni wa lawama za vijana wa ufipa, wapo hivyo, kila jambo lazima walie lie tu.Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.
Watoto wa siku hizi akisha Shiba ugali wa shemeji wanaingia jf na kufungua nyuzi za kulaumu tu bila hata kujua Sheria kanuni na taratibu Cha hicho anacho kilaumu muulize Sasa wamevunja Sheria au utaratibu upi atajing'ata tu vidole ajiume umeAcha povu bwanamdogo PGO ni Police General Orders. Hivyo ulikuja na hamaki kwa kulaumu ufavaaji huo, kana kwamba kwenye PGO wamevunja kifungu.
Ndio kusema nakutaka kukufunda kabla hujalalamika suala ambalo hulifahamu jitahidi ufahamu nalo kabla ya kutoa lalamiko.
Lalamiko ni hitimisho kwamba walikosea kwa mujibu wako, by theway nisamehe hapo juu kama nilitumia lugha mbaya.
Kashiba ugali wa shemeji huyo anaropoka tuSasa hapo silaha nzito iko wapi mkuu au umevimbilwa kande na kujifanya ueledi mwingi mbele Giza jaribu kuuficha ujinga wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hatari sana yani wajuaji pasipo kujua badala ya kuanzisha uzi wa kuuliza yeye anaulumu. Hapohapo unamuuliza unafahamu PGO maana polisi wote kwazo ndizo ziwangozao anatoa macho na kulalama.Watoto wa siku hizi akisha Shiba ugali wa shemeji wanaingia jf na kufungua nyuzi za kulaumu tu bila hata kujua Sheria kanuni na taratibu Cha hicho anacho kilaumu muulize Sasa wamevunja Sheria au utaratibu upi atajing'ata tu vidole ajiume ume
Ufipa nio ww chakubanga!!Mkuu sidhani wewe ni mgeni wa lawama za vijana wa ufipa, wapo hivyo, kila jambo lazima walie lie tu.
Safi sanaSasa hapo silaha nzito iko wapi mkuu au umevimbilwa kande na kujifanya ueledi mwingi mbele Giza jaribu kuuficha ujinga wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu, mleta hoja ana point nzuri tuu. Inakuwaje askari yuko katika nguo zisizomtambulisha anabeba silaha?ULITAKA WAVAAJE?
AK MOJA NA REVOLVER NDIO WAITA SILAHA NZITO?
WAMEVUNJA SHERIA IPI KATIKA NCHI?
KAMA HUJUI KITU USIBWABWAJE WEWE MZEE
UNALALAMIKA OOH UKIPIGA SIMU KUWA NIMEVAMIWA WANAKUJIBU HAWANA GARI SASA KAMA HALIPO WAKUJIBU TUNAKUJA WAKAT HAWANA?
HAWANA MAFUTA SASA KAMA MAFUTA HAYAPO WATAKA WAKUDANGANYE KUWA TWAJA WAKAT HAWAJI?
NINA WASI WASI ALOKAMATWA NI MKEO NA HURUHUSIWI KUMUONA NDIO MAANA POVU
Unafahamu P.G.O zinaongoza jeshi la polisi? Kama ndio wamevunja P.G.0 ipi/zipi?
Maana hapa naona tunabishana kitoto.
Askari wetu wanapokosea ni hapoMkuu hatari sana yani wajuaji pasipo kujua badala ya kuanzisha uzi wa kuuliza yeye anaulumu. Hapohapo unamuuliza unafahamu PGO maana polisi wote kwazo ndizo ziwangozao anatoa macho na kulalama.
Mfumo wetu wa elimu shida sana.
Aione Synthesizer
Hawa maaskari wanajiropokea km tupo Kituoni hawajui hata JF inaendeshwaje kwa amani au kiujangiliMkuu hao hawajafuata hiyo P.G.O yako kifungu cha 29 1 (a) na (b) (i) & (ii)..lakini pia tuelimishane hebu nawe tueleze wametumia kifungu gani kwenye hiyo P.G.O?