IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia?

Sasa mbona polisi wakiitwa kurespond tukio la ujambazi hawatokei mpaka majambazi waondoke?

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
Inahusiana nini? Na nilichoandika hapo!!!
Hv huko mashuleni mlienda kusomea ujinga?
 
Hawatokei??
Ushawahi skia majambazi na polisi wamejibizana kwa risasinafu majambazi wakashinda?
Hao jamaa usiwachukulie poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay.. pengine siko well informed. Nazungumzia pale ambapo wakipigiwa kurespond utasikia, "gari halina mafuta"

Ila kwenye kupambana na upinzani gari zote huwa na mafuta wakati wowote?

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
 
Kweli wewe mtoto eti mazingira ya kawaida Tanzania hujui Kama Ile Ni kazi professional au unataka kusema hawajui kazi yao wewe ndio unajua
 
Hiyo ni nafasi ya 'kujitangaza' kwa gharama nafuu.
 
Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.
Mkuu sidhani wewe ni mgeni wa lawama za vijana wa ufipa, wapo hivyo, kila jambo lazima walie lie tu.
 
Watoto wa siku hizi akisha Shiba ugali wa shemeji wanaingia jf na kufungua nyuzi za kulaumu tu bila hata kujua Sheria kanuni na taratibu Cha hicho anacho kilaumu muulize Sasa wamevunja Sheria au utaratibu upi atajing'ata tu vidole ajiume ume
 
Sisi huku kwetu tuna majitu yanalalamika askari kuwa na silaha nzito.
Ebboo ulitaka aende na manati?
Nchi zizilizoendelea, usalama wameupa kipaombele sana,tukio dogo tu la mume kumpiga mke, ikipigwa namba za polisi.
Zinaenda gari hata nane na ambulance na ikiwezekana helcopta juu.
Wewe unaongea utumbo wa bata eti silaha nzto,Mabomu ya machozi nayo ni silaha nzto?
Pitia hata youtube basi kupunguza ujinga.
 
Watoto wa siku hizi akisha Shiba ugali wa shemeji wanaingia jf na kufungua nyuzi za kulaumu tu bila hata kujua Sheria kanuni na taratibu Cha hicho anacho kilaumu muulize Sasa wamevunja Sheria au utaratibu upi atajing'ata tu vidole ajiume ume
Mkuu hatari sana yani wajuaji pasipo kujua badala ya kuanzisha uzi wa kuuliza yeye anaulumu. Hapohapo unamuuliza unafahamu PGO maana polisi wote kwazo ndizo ziwangozao anatoa macho na kulalama.
Mfumo wetu wa elimu shida sana.
Aione Synthesizer
 
Hapo wapo sawa mabomu ya machozi yatawasaidia paletu zali likitokea maana walienda kumkamata mtu je wale ndugu wakichachamaa unafikiri nini kinweza tokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wabongo sikutwajua kusema hapa polisi wasingeenda walivyo ungeona lijitu linaleta uzi likisema polisi anapenda kumkamata kama muuza mitumba.
Kipindi cha Nyerere haya mambo hayakuwepo kwasababu [emoji336] (smart phones) ilikuwa hakuna, sasa Leo hii kila kitu Uzi na ukijumlisha na siasa basi kila kitu ni shida tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbavu, mleta hoja ana point nzuri tuu. Inakuwaje askari yuko katika nguo zisizomtambulisha anabeba silaha?
Na bahati mbaya sio kwenye operesheni tuu, Bali hata mtaani waweza kukutana naye SMG Inaning'inia begani.
Jambo hilo ni hatari kwani RAIA waweza mdhania ni jambazi na madhara makubwa kwake na kwa RAIA kutokea.
Pili hata majambazi waweza kutumia mwanya huo kuhamisha silaha toka sehemu mchana kweupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu P.G.O zinaongoza jeshi la polisi? Kama ndio wamevunja P.G.0 ipi/zipi?
Maana hapa naona tunabishana kitoto.

Mkuu hao hawajafuata hiyo P.G.O yako kifungu cha 29 1 (a) na (b) (i) & (ii)..lakini pia tuelimishane hebu nawe tueleze wametumia kifungu gani kwenye hiyo P.G.O?
 
Mkuu hatari sana yani wajuaji pasipo kujua badala ya kuanzisha uzi wa kuuliza yeye anaulumu. Hapohapo unamuuliza unafahamu PGO maana polisi wote kwazo ndizo ziwangozao anatoa macho na kulalama.
Mfumo wetu wa elimu shida sana.
Aione Synthesizer
Askari wetu wanapokosea ni hapo
wanajifanya wajuaji sana, kikazi kidogo cha kuwatuma Manesi kwanini waende zaidi ya askari wawili tena mwanamke hakuna?
Mleta Mada Synthesizer kauliza vizuri tena kumtahadharisha IGP lkn maaskari mkaidakia Mada mara PGO mara ni order toka juu, sasa ni Waziri wa Afya mwenye Mamlaka au ni hao askari kukimbilia kwa huyo Mama na makamera?
Ni mara ngapi Matukio ya ujambazi na kupora magari kunakoshamiri na hamtokei?
Leo imetokea Hukumu ya MD wa Jamii Forums hamuifauatilii mko nyuma ya vitufe mnajitutumua na ninyi ndio mlimakamata kwa kutumwa na OilCom
mnapoambiwa ukweli mnajifanya na vinitial vyenu vya PGO
ukitumwa kumkamata Baba yako hutasita kwa sababu ni amri
alichosema Mleta Mada ni sahihi angeenda hata WP huyo Mama angetoka kwani kuna vitu vingi vimemsababisha atoke kwenye Karantini, Hata Mbunge wa Kilifi Kenya katoroka Karantini mambo ni hayohayo kazi za Manesi mnajichanganya
JF ni mahali na jamvi la kuhabarishana na kujuzana, km unajua SMG mwingine kalamu mwingiine Moderator
cc@ mr chopa
 
Mkuu hao hawajafuata hiyo P.G.O yako kifungu cha 29 1 (a) na (b) (i) & (ii)..lakini pia tuelimishane hebu nawe tueleze wametumia kifungu gani kwenye hiyo P.G.O?
Hawa maaskari wanajiropokea km tupo Kituoni hawajui hata JF inaendeshwaje kwa amani au kiujangili
Watu tunafikiria hatima ya JF wengine hawana hata habari mradi anabofya kitochi kwa bundle za makampuni mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…