Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
sawa kivipi kwani hapo Iringa hawakumuua mwandishi aliyekuwa na Kamera tu, je AkwilinaHapo wapo sawa mabomu ya machozi yatawasaidia paletu zali likitokea maana walienda kumkamata mtu je wale ndugu wakichachamaa unafikiri nini kinweza tokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani WP au Nurse asingemrejesha kwenye Karantine
Busara ni muhimu sio lazima umrudishe Italy au Dsm hata hapo Iringa karantini inawezekana
tusiwe km Rwanda yanayoendelea