IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia?

IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia?

Umeambiwa kikosi cha dharula zote. Ndiyo maana mnasema polisi wanawaonea kumbe umbuumbu wenu. Ukiangalia magari ya Polisi yote yana silaha kubwa muda wote na hawaruhusiwi kutembea bila silaha. Sasa unataka wakakamate kwa kutumia fimbo? .Umeambiwa kikosi cha kupambambana na Ujambazi inamaana majambazi hawezi kujitokeza alipojificha Mgonjwa wa Corona?. Jiulize hiyo bunduki Kubwa inazuia nini Polisi kukamata.Maana hawajaitumia kumpiga Mgonjwa. Akili ndogo wewe unafikiri ujambazi unatoa taarifa kuwa leo tutapiga kwa Mgonjwa wa Corona?. Haya umejiuliza kwanini huyo mgonjwa amekimbia karantini?. Ujinga tu unakusumbua unajifanya unaujua ulinzi wa Nchi kumbe Mbumbumbu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poti
Ilitakiwa iende ambulansi na siyo hayo ma AK47.Usishupaze shingo kwa mambo mepesi,mwisho utakuja kutoa siri za jeshi hivi hivi kimapuuza.Tulia endelea na lindo
 
Kwa hiyo kwa akili zako kwenda na nguo za kiraia na silaha unajua wamevunja taratibu na kanuni za jeshi la polisi Tanzania?
Hujaelewa uko mbali sana. Nimesema hivyo? Suala la kuvaa kiraia ukiwa umekamilika na silaha nimeuliza swali.sijasema wamevunja sheria. Hivi hiyo mitihani ya upolisi mnapita kweli? Unashindwa kuunganisha hizi doti unawezaje kufanya upelelezi unaohitaji kutumia akili kutambua mambo? Ndio maana kesi nyingi zinafungwa bila kupatiwa ufumbuzi
 
Umesahau kuna watu wamechukizwa na alichofanya huyo Mgonjwa. Au uwajui wananchi wenye hasira Kali wangefanya nini. Mwanajamiiforums mwenzangu muda mwingine uwe anaangalia na kukaa kimya. Maana umbumbumbu wako ni mkubwa hujawahi hata kuwa kupewa nafasi ya kuongoza watoto wenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheh! Sasa wewe unatafuta sababu kupewa cheti cha kushindwa kufikiri. Hao watu waliochukizwa wangesubiri polisi wafike ndio wafanya mashambulizi sivyo? Na saa zote walikuwa wanajua jirani katoroka kambi ya Corona wamekaa kimya tu wanasubiri polisi wakimfuata ndio waonyeshe kuchukizwa na kitendo cha huyo mama?

Au labda hao polisi walipoenda kumchukua walifanya matangazo mtaani, jamani eeh, tumekuja kumchukua jirani yenu alitoroka kambo ya Corona lakini msipandishe hasira tumekuja na silaha!

Unaona jinsi unavyohitaji kutumia ubongo wako kufikiria mambo sio unajibu tu thread? Mbumbumbu nani sasa hapa? Na wewe utakuwa umeathirika na ile harufu ya polisi
 
Wana difenda zao zina namba za nje sio Tanzania! Askari wa Bongo ni shidaaa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kuna askari humu mnao comment kwenye hii thread tafadhali afadhali muache tu. KIla comment mnayotoa inazidi kuonyesha namna yenu ya kufikiri ikoje. Ni bora mngebaki kimya badala ya kuendelea kulidharirisha jeshi la Polisi kwa hizi comment zenu zisizo na mshiko wa lojiki wala kufikiri..
 
Huwa kuna kikosi cha kushughulikia ujambazi na cha matukio ya kawaida ya raia watukutu.

Sasa kama wale wa ujambazi wana upungufu kwenye utendaji ni wao, sisi huku wa kudili na raia watukutu huwa tunajituma.
Hebu angalia huyu askari wenu wa kudeal na raia watukutu - au ndio wa kikosi cha ujambazi? Silaha na kandambili? Na mnajiita professional? Na hapo uko na Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama anaona sawa tu? Nyie ni komedi kweli

1586002813132.png
 
Silaha ni za serekali, kandambili ni za kwake.
Na suruali? Na tisheti? Na yuko kazini, field. Halafu Sirro anatuaminisha ana jeshi makini lilio prefessional?

Ikiwa Polisi wanashindwa kuwa na busara katika kuvaa, katika ku-deploy askari kwenda kwenye operation, katika kuamua nguvu ya detail inayoenda kumkamata mama kama huyu wa Iringa, unawezaje kuliamini jeshi kama hilo kufanya maamuzi ya busara kwenye mambo yanayohitaji intellect kama kushughulika na mazingira ya vyama vingi vya siasa?
 
Heheheh! Sasa wewe unatafuta sababu kupewa cheti cha kushindwa kufikiri. Hao watu waliochukizwa wangesubiri polisi wafike ndio wafanya mashambulizi sivyo? Na saa zote walikuwa wanajua jirani katoroka kambi ya Corona wamekaa kimya tu wanasubiri polisi wakimfuata ndio waonyeshe kuchukizwa na kitendo cha huyo mama?

Au labda hao polisi walipoenda kumchukua walifanya matangazo mtaani, jamani eeh, tumekuja kumchukua jirani yenu alitoroka kambo ya Corona lakini msipandishe hasira tumekuja na silaha!

Unaona jinsi unavyohitaji kutumia ubongo wako kufikiria mambo sio unajibu tu thread? Mbumbumbu nani sasa hapa? Na wewe utakuwa umeathirika na ile harufu ya polisi
Haaaaaaaaa. Wewe mbumbumbu umepewa sababu kwanini wapo kiraia, kuwa wapo idara ya Upelelezj, wazako wamehoji juu ya silaha umeambia kwa dharula yoyote iitakayojitokeza. Mmoja kahoji Corona ni Dharula niemueleza nidharula kubwa Sana. Kuna kauliza kuna ulazima gani kwenda na silaha nzito/kubwa nikamueleza ndiyo moja ya vitendea kazi vyao. Kulikuwa na ulazima gani kiende kikosi kile. Wait walipewa kieneo hicho kumtafuta anayehisiwa Mgonjwa maana hata Sasa wewe unataka iende Ambulance umesahau kuwa amekataa kutii shetia bila shuruti. Maana aliambiwa akae karantini ametoroka. Lijitu hata kufikkuri kwanini ametoroka?. Hali za hao askari zitakuwaje baada ya kumamata Hugo mtu. Je wananchi wrnye hasira kali wangefanya nini juu ya Mtu anayetaka kusambaza virusi. Unawaza silaha zao ukasahau Kabisa kuwa Afrika mashariki sisi ndiyo Nchi pekee hgatupo katika Vita ya bunduki kwasababu ya Mifumo ya ulinzi wa Nchi. Kwa upande wangu nawapongeza hao Mapolisi kwa kazi nzuri waliofanya. Sasa kama wewe ungekuwa IGP sijuk ungetuma kikosi gani kumkamata ambacho hakitembei na bunduki. i

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaaaaaaa. Wewe mbumbumbu umepewa sababu kwanini wapo kiraia, kuwa wapo idara ya Upelelezj, wazako wamehoji juu ya silaha umeambia kwa dharula yoyote iitakayojitokeza. Mmoja kahoji Corona ni Dharula niemueleza nidharula kubwa Sana. Kuna kauliza kuna ulazima gani kwenda na silaha nzito/kubwa nikamueleza ndiyo moja ya vitendea kazi vyao. Kulikuwa na ulazima gani kiende kikosi kile. Wait walipewa kieneo hicho kumtafuta anayehisiwa Mgonjwa maana hata Sasa wewe unataka iende Ambulance umesahau kuwa amekataa kutii shetia bila shuruti. Maana aliambiwa akae karantini ametoroka. Lijitu hata kufikkuri kwanini ametoroka?. Hali za hao askari zitakuwaje baada ya kumamata Hugo mtu. Je wananchi wrnye hasira kali wangefanya nini juu ya Mtu anayetaka kusambaza virusi. Unawaza silaha zao ukasahau Kabisa kuwa Afrika mashariki sisi ndiyo Nchi pekee hgatupo katika Vita ya bunduki kwasababu ya Mifumo ya ulinzi wa Nchi. Kwa upande wangu nawapongeza hao Mapolisi kwa kazi nzuri waliofanya. Sasa kama wewe ungekuwa IGP sijuk ungetuma kikosi gani kumkamata ambacho hakitembei na bunduki. i

Sent using Jamii Forums mobile app

Hehehehehehe! Eti kikosi cha dharura cha polisi kimeenda kwenye tukio hili kwa kuwa Corona ni dharura!!!!

I say kuna watu duniani, kweli akili ni nywele!

Jamani tuwaeleweshe hawa watu tofauti kati ya dharura katika operation za polisi na dharura ya kitu kama corona. Maskini watu wet wanaangamia kwa ajili ya ujinga!

Mtu anawekwa kwenye kikosi cha dharura cha askari - anajua atashughulikia dharura ya corona!
 
Sasa ngoja nikuambie kitu cha kufanya kwa askari wasomi.

Si unasema wanaweza kupata pingamizi? Basi unaweka response team standby mahali sio mbali na tukio. Pale unaenda na ambulance na askari wawili tu, labda mmoja ndio ana silaha kama SMG. Na una radio. Kukitokea pingamizi au vurugu ndio unaita kwenye radio - response unit move in.

Ndivyo askari professional wanavyofanya kazi. Wana avoid antagonistic responses wanaposhughulika na raia.

Ila kama wewe ni askari kama hao najua hayo maneno hapo nimeshakuchanganya

kwani kipi cha ajabu umeongea hapa mpaka unichanganye!!!!!USICHOJUA.

uwiano uliopo kwenye kutoa huduma kwa askari na raia nchini,ni polisi mmoja kutoa huduma za kipolisi kwa raia 1200.unapomuona anahangaika na jambo fulani sehemu kwa mtu mmoja jua kuna wananchi 1199 wanamsubiri.hao askari wa kukaa kusibiri mtu aliyeshiba maharage alete fujo wanawatoa wapi???simple ni kuwateka askari hawa hawa wa kwenye majukumu ya kawaida ya siku zote wafanye na hilo.

hii inchi bado sana usizungumze kama unaitaja ujerumani au ufaransa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
expand...
Acha upumbavu, mleta hoja ana point nzuri tuu. Inakuwaje askari yuko katika nguo zisizomtambulisha anabeba silaha?
Na bahati mbaya sio kwenye operesheni tuu, Bali hata mtaani waweza kukutana naye SMG Inaning'inia begani.
Jambo hilo ni hatari kwani RAIA waweza mdhania ni jambazi na madhara makubwa kwake na kwa RAIA kutokea.
Pili hata majambazi waweza kutumia mwanya huo kuhamisha silaha toka sehemu mchana kweupe.
WE BWEGE NINI
YAANI KAMA WEWE UNA ELIMU YA KUENGUA NAZI USILETE HUKU KWA HUMAN BEING. YAANI HUYU NI MOJA WAPO YA WAPUMBAVU WA TAIFA WEWE UNATAKA JINSI AKILI YAKO NDOGO INAVYOKUTUMA NDIO ULETE USHAURI WA KIBWEGE KWA WATU WENYE AKILI TIMAMU.
BWEGE NINI
 
Back
Top Bottom