IGP Simon Sirro, kwanini askari polisi wanatumwa field na silaha nzito wamevaa kiraia? Kwanini unatuma askari na silaha nyingi tukio dogo la kiraia?

Wewe nini wasi wasi wako, ikiwa hizo silaha mzito hupigwi nazo. Ni vizuri ungetuwekea taratibu za operation za polisi hapa, tuone kama wanakosea au la.

Na kama wanavunja katiba ya nchi, weka hapa hiyo aya, inaoelezea operation za polisi wanatakiwa waweje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hizo silaha, tatizo nini kwa mtu mwema. mnataka waende mikono mitupu, alafu mtu mwenye kisu, au bastola awakimbize.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama askari wa upelelzi, unajua kwa nini hawavai uniform? Tuanzie hapo kwanza. Kama una akili hata kidogo basi utaona jinsi gani huna ufahamu.
 
Unitorm hazitoshi, wanasuhiri Rais awambie wanujue kama alivyo fanya shule ya ubungo
 
Nimeangalia askari walioenda kumkamata huyu mama wa Iringa alietoroka kambi ya Corona, na karibu askari wote walioenda walikuwa wamesheheni silaha lakini wamevaa kiraia.
Kachero havai sare
Anti robbery unit hawavai sare
Inategemea response imedakwa na kitengo gani,na hawawezi kwenda kwenye tukio bila silaha,ni sawa na gari la zimamoto kufika kwenye tukio bila maji
Tanzania ya sasa,hasa Dar,ukiona polisi alievaa sare amebeba silaha,basi ujue kwamba anaenda kulinda benki au amepangwa kwenye mataa ya kuongoza gari
 
Anti-robbery kwenda kumkamata mama aliyetoroka hospitali kwa ajili ya Corona? Au tuwatafsirie polisi wetu maana ya anti-robbery?
 
Kwa hiyo wanaenda na mabunduki kuishambulia Corona??
 
Tatizo labda iwe hizo silaha ila sio nguo.
Hao askari wa idara ya upepelezi, ambao kimajukumu hawavai uniform.
Gafla wakikutana na tukio njian ambalo linahitaji kutumia silaha lets say gafla wakakuta majambazi wanaganya tukio....polisi waanze kutumia fimbo au mawe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…