Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo umeziona leo mbona za siku nyingi? Na ukweli utabaki hivyo hivyo tu! Whether you like or not!!View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Kwani ulikuwa hufahamu kuwa CCM ni chama tawala?Ndiyo maana wanaitwa Policcm. Hao Maafisa karibia wote ni wafuasi na wanachama watiifu wa CCM.
Kinamtawala nani?Kwani ulikuwa hufahamu kuwa CCM ni chama tawala?
Wewe hapo na watz wote!Kinamtawala nani?
View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Hajipendi!View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Hapana,mi najua ni chama cha mapinduzi,ungejua maana ya mapinduzi,yaani kupora masanduku ya kura ndio mapinduzi hayo.Kwani ulikuwa hufahamu kuwa CCM ni chama tawala?
Yaani ilani imechukua nafasi ya Katiba! Kumbe asemayo Mh. Tundu Antiphas Lissu ni ukweli mtupu! Kichinjio ni tarehe 28/10/2020! Tusifanye makosa tena...kumbukeni, kosa si kosa ila kurudia kosa!Apandishwe cheo kwa kuelewana kuilezea kwa ufasha na usahihi job description yake kwa mujibu wa ilani.
Shut up!Kwani ulikuwa hufahamu kuwa CCM ni chama tawala?
Haya peleka hiyo haraka kwa Robert Amsterdam! Sisi haituhusu.View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa PolisiView attachment 1604292
Hebu tumsikilize...
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Huyu baada ya tarehe 28 hatakuwa na kazi , tuna orodha ya askari duni kama huyu wako zaidi ya 200Ndiyo umeziona leo mbona za siku nyingi? Na ukweli utabaki hivyo hivyo tu! Whether you like or not!!