Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, unasemaje kuhusu kauli hii ya SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi?

Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro, unasemaje kuhusu kauli hii ya SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi?

View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi
Hebu tumsikilize...
View attachment 1604292
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Huyo ni kada wa CCM na IGP anamuogopa hana cha kusema kwani anastaafu baada ya uchaguzi hataki kutumbuliwa kwa nguvu
 
Huyu mimi naweza kum - describe kama Afisa wa Jeshi la Polisi asiyelewa wajibu wake..

Na tatizo la jeshi la polisi ndo liko hapa, yaangi WENGI WA POLISI WETU HAWA KUWA WAJINGA wa kutoelewa sheria lakini wamekabidhiwa bunduki kwa jina la wananchi wa Tanzania..!!

Ilani ya chama cha siasa na sheria inayoongoza utendaji wa Jeshi la polisi + katiba ya nchi zinakutana wapi na wapi?

Kwa vyovyote vile ILANI YA CHAMA haiwezi kuwa ndiyo mwongozo wa utendaji kazi katika taasisi unayoitumikia..

Kilichomo kwenye ILANI YA CHAMA CHA SIASA kilichoshinda uchaguzi na kuunda serikali, ni lazima kwanza kitungiwe sheria na kisha sheria hiyo ndiyo iwe mwongozo wa kusimamia kutekeleza kilichokusudiwa na kamwe siyo hivi anavyofanya huyu Afande Mjinga"...!
Polisiccm ni chombo binafsi cha CCM kama ilivyokuwa TBCCCM au NECCCM
 
Huyo ni kada wa CCM na IGP anamuogopa hana cha kusema kwani anastaafu baada ya uchaguzi hataki kutumbuliwa kwa nguvu
Tatizo shule.
Huyu kamanda sii kosa lake.
Kosa lipo kwenye kupungukiwa na shule. Yujitahidi kumpa somo la uraia huenda akajielewa/pambanua
 
Tarehe 28 tunamrudisha mhutu nyumbani kwao Burundi! Hatutaki dikteta la kiintarahamwe Tanzania
Ajabu ni kwamba bado kuna watu hawaamini kinachotokea mbele ya macho yao huo ukweli kwamba Watanzania wameamua kutawaliwa kiimla mwisho Octoba 28. Msisimko nilioushuhudia Babati na Karatu si wa kubeza, wananchi wako tayari kwa mabadiliko...ulaghai wa CCM mwisho 28 Oktoba!




 
Huyu mimi naweza kum - describe kama Afisa wa Jeshi la Polisi asiyelewa wajibu wake..
Mi nadhani huyo ni Ofisa wa Polisi kutoka jeshi lisilojua wajibu wake!!!

Ni kutoka jeshi lisilojua wajibu wake kwa sababu huyo sio wa kwanza, na katu hawezi kuwa wa mwisho!
 
Huyu baada ya tarehe 28 hatakuwa na kazi , tuna orodha ya askari duni kama huyu wako zaidi ya 200
Hawa polisi wasiojitambua heri waanze tu kufungasha virago la sivyo merikebu inazama nao! Wewe ni polisi na jukumu lako ni kuwalinda Watanzania wote pamoja na mali zao bila kubagua. Halafu unaanza kuongea mambo ya kijinga kama huyu, upumbavu mtupu!

Sasa basi cha ajabu...Tume ya maadili kimya, Jeshi lenyewe la Polisi kimya, Msajili wa Vyama kimya, Tume ya Uchaguzi kimya na hata hiyo CCM yenyewe kimya. Hapana, hiki chama kimezeeka na hakina sifa tena ya kuunda serikali.
 
Yaani ilani imechukua nafasi ya Katiba! Kumbe asemayo Mh. Tundu Antiphas Lissu ni ukweli mtupu! Kichinjio ni tarehe 28/10/2020! Tusifanye makosa tena...kumbukeni, kosa si kosa ila kurudia kosa!
Mkuu, ni kweli kabisa unaamini kuwa Lissu na wenzake huko Chadema wanaweza kuimarisha Tanzania na watanzania wote katika nyanja zote!? Ni kweli kabisa hii inatoka rohoni mwako kabisa!? Au ni yale yale mlio mfanyia 'Mbombezi' a.k.a. BCM!?

Mkuu, nina imani kuwa wewe si mmoja wa wale wanaotaka kuona Tanzania inazama na kupotea!!!
===
Bado sijatazama/ sikiliza hiyo Clip ya Askari.
 
Tanzania ya kijani inakuja. Mungu yupo nasi, tutashinda na zaidi ya kushinda. Poleni vibaraka wa mabeberu hamna chenu oct 28.
IMG_20201017_221108_276.jpg
 
Yaani ilani imechukua nafasi ya Katiba! Kumbe asemayo Mh. Tundu Antiphas Lissu ni ukweli mtupu! Kichinjio ni tarehe 28/10/2020! Tusifanye makosa tena...kumbukeni, kosa si kosa ila kurudia kosa!

Mipaka yote idhibitiwe baada ya uchaguzo huyu kibaaka wa robertison asije akatuponyoka na kuwaacha maadui wa ndani wanaomchangia kampeni zake peke yao wakipatiwa kibano.
 
Mipaka yote idhibitiwe baada ya uchaguzo huyu kibaaka wa robertison asije akatuponyoka na kuwaacha maadui wa ndani wanaomchangia kampeni zake peke yao wakipatiwa kibano.
Na wewe Shehullohi sijui utakuwa mtoto wa nani, wa baba mdogo? wa mjomba? wa shemeji? au wa kufikia tu. It is all in the genealogy. Mwisho wenu Oktoba 28, kumbuka sana hilo.
 
Na wewe Shehullohi sijui utakuwa mtoto wa nani, wa baba mdogo? wa mjomba? wa shemeji? au wa kufikia tu. It is all in the genealogy. Mwisho wenu Oktoba 28, kumbuka sana hilo.

Lissu keshajisahaulisha alivyikuwa anazunguka marekani na ulaya kwa ufadhili wa rais wa mashoga duniani akihujumu uhuru na amani ya Tanzania. Sasa maadamu kajileta mwenyewe basi sheria ichukuwe mkondo wake. Ushahidi wa haya matendo yake uko.
 
View attachment 1604283
Huyu ndiye SACP Engelbert Kiondo - Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi
Hebu tumsikilize...
View attachment 1604292
Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba huyu ni afande katika Jeshi la Polisi Tanzania au wenzangu mnasemaje?
Hili jeshi la Polisi ni la kufumuliwa lote kabisa. Ama kweli ujinga ni gharama. Jeshi hili lina askari na viongozi wenyewe upeo mdogo sana mpaka aibu. Hili utopolo kwenye clip ni kielelezo tosha.
 
Subiri uone jiwe linaenda kumuongeza mshahara kabisa, stupid monkeys
Hiyo pia ni sababu tosha ya kutolionea haya hilo jiwe...tarehe 28/10/2020 iwe ni siku ya kuliweka jiwe kwenye kombeo na kulitupilia mbali huko kunakodaiwa lilitoka.. Hiyo miaka yake mitano imekuwa chungu karibu kwa kila Mtanzania na tumelia vya kutosha...bye bye jiwe!
 
Hiyo pia ni sababu tosha ya kutolionea haya hilo jiwe...tarehe 28/10/2020 iwe ni siku ya kuliweka jiwe kwenye kombeo na kulitupilia mbali huko kunakodaiwa lilitoka.. Hiyo miaka yake mitano imekuwa chungu karibu kwa kila Mtanzania na tumelia vya kutosha...bye bye jiwe!
Haya mkuu lakini hebu cheki leo Mkata leo
 
Back
Top Bottom